Arusha Stadium kufurika 30/5/2015, Ni mkutano wa hadhara wa Lowassa

Status
Not open for further replies.
uwii tanzania naionea huruma sanaa

Ivi jaman naomba kujuzwa ivi kweli izo hela za lowassa ni nyingi kiasi gani ambacho haziwez kuisha wala kupungua? afu je ivi hana uchungu nazo hata kidogo?

ivi ikulu kuna biashara gan ambayo anauhakika atalkwenda kuifanya iweze kurudisha izo ela zote anazotumia?

afu ha ajabu mbona kila siku yanasemwa kagawa pesa mara sijui nini lkn kila uchwao watu mtaani ni maskin wa kutupwa na sijawah kukutana na hata mmtu mmoja akasema leo ninazo hizi apa lef 2 toka kwa lowassa?

na je mbona huo mgao basi haujafika kwangu? ama mimi nami sio mtanzania?
Umesahau signature yako we si unawataka waje waifuate nyumbani endelea kusubiri lol...
 
mm cjui hii nchi ina laana gani sasa hii ni radio ya umma lakini bado inawabagua watz wenyewe wakati kodi za hawahawa watz ndoo salary zao!!!
 
Katika wagombea wote wa CCM niliemuona angalau atatufaa ni EL,bora tumsapoti yeye maana tukizubaa mtatuletea asie na viwango kama vya EL
 
VUTA-NKUVUTE

TAKUKURUUU WAPI??....! aka PCCB Usingizi mzitoo....zzzz...zzzz....:sleepy::sleepy::sleepy::A S-confused1:
 
Last edited by a moderator:
Salaam ndugu.
Karibu kujiunga nasi Jumamosi hii pale Sheikh Amri Abeid, Arusha tutakapojumuika na watanzania kuanza rasmi safari ya matumaini. Karibu sana
 
habari za hawa wagombea wa ccm naona ndo habari ya mjini.kina slaa naona wamesahaulika kabisa.
hivi huyo babu anafanya shughuli gani sikuhizi?naona yupo kama hayupo
 
Kazi ya Siasa lazima uwe dalali na Sofia Simba ni mjanja amesoma alama za nyakati kuwa EL 2015 is a must.
 
Hadi hekaya zinatungwa. I just can't wait for tomorrow...

Mlioko Arusha hebu tupeni updates tunataka kusikia kwa independent observers
Daudi Mchambuzi
 
Last edited by a moderator:
VUTA-NKUVUTE;
...kupiga kelele humu haitoshi....wapigeni picha hao makada...alafu wapeni ripoti takukuru.....maana hiyo ni rushwa per se....haitoshi tu kusema hapa....
 
Last edited by a moderator:
Salaam ndugu.
Karibu kujiunga nasi Jumamosi hii pale Sheikh Amri Abeid, Arusha tutakapojumuika na watanzania kuanza rasmi safari ya matumaini. Karibu sana

Kweli nmeamini hela mliyopewa inawa henyesha njaa mbaya sana.
MNakuja na slogan za uongo sjui safari ya ma tumaini sjui elimu kwanza hivi nyie bado mnafikiri wa tz ni mabwege àaaaamaaa
Nyie mnakesha kumpigia debe fisi akabidhiwe bucha Hehehehe mnachekesha sana, tambua matumaini pekee wanayo ukawa
 
Huyu mama aliwahi kusema hadharani kuwa ' lowasa ndie mwanaume wa shoka Nchi hii' Nilishangaa sana Kikwete alimuacha kwani alimdhalilisha hata yeye!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom