Nasikitika kwanza umenitukana, halafu ungekuwa wewe uko kinyume na ujinga ungeonesha vinginevyo. Poa, ntaacha ujinga wangu, ila nawe dogo wa uwezo wa kufikiri ni poa uanze kujifunza kufikiri vyema.Acha ujinga wee dogo . . , kusifia Kask ni kuendeleza ukabila . . ? Kwanza unajua idadi ya makabila yaliyoko Kask . . ?!
Kaskazini kuna makabila mengi tuu, kuna Wamasai, Wameru, Wambulu, Waarusha, Wachagga, Wapare . .
Hawa ni Watanzania, ila kinachosifiwa hapa ni weledi wao, uchapa kazi wao, maendeleo wanayofanya . . , tena kila kona ya Nchi hii .
Sasa kuna ubaya gani kusifu Watanzania wenzako wanao onyesha mfano wa kuigwa ktk maendeleo na elimu . . ?!
Acheni wivu wa kijinga . .
Halmashauri za Tandahimba na Kahama nimeshafika huko, kama unasema zinakua kwa kasi ni vizuri sana, ndio tunavyotaka nchi nzima ikue kwa kasi hivyo . . [emoji106]Nasikitika kwanza umenitukana, halafu ungekuwa wewe uko kinyume na ujinga ungeonesha vinginevyo. Poa, ntaacha ujinga wangu, ila nawe dogo wa uwezo wa kufikiri ni poa uanze kujifunza kufikiri vyema.
Wote waliochangia kama mimi walikuwa na jambo walilokuwa wakilizuia, lipo ila wenye hekima wanayajua madhara yake, wajinga tu ndo hawayaoni haya. Muda ni hakimu bora, acha ije utuhukumu kwa maana ni jambo la asili, penye kuweka umoja utengano utatupia tu. Kwa taarifa yako Tandahimba na Kahama ni miongoni mwa halmashauri zinazokula kwa kasi Tanzania.
Kwanini isiwe ni Dar ndogo au Mwanza ndogo au hizo zimezipita? Halafu hivi ni Arusha mji au Mkoa?Arusha ni Nairobi ndogo
Watadai ni nchi! [emoji23]Kwanini isiwe ni Dar ndogo au Mwanza ndogo au hizo zimezipita? Halafu hivi ni Arusha mji au Mkoa?
Wehu!Watadai ni nchi! [emoji23]
Ndivyo wengi walivyo mkuu, badala kuchangia mawazo au ideas zao kazi kutukana na kukandia wengine through insults and character assassination.Nasikitika kwanza umenitukana, halafu ungekuwa wewe uko kinyume na ujinga ungeonesha vinginevyo. Poa, ntaacha ujinga wangu, ila nawe dogo wa uwezo wa kufikiri ni poa uanze kujifunza kufikiri vyema.
Wote waliochangia kama mimi walikuwa na jambo walilokuwa wakilizuia, lipo ila wenye hekima wanayajua madhara yake, wajinga tu ndo hawayaoni haya. Muda ni hakimu bora, acha ije utuhukumu kwa maana ni jambo la asili, penye kuweka umoja utengano utatupia tu. Kwa taarifa yako Tandahimba na Kahama ni miongoni mwa halmashauri zinazokula kwa kasi Tanzania.
kweli dogo umenenaWewe huwa unahesabu A-city kama Tanzania, hujajiuliza mbona watu wa pale wapo kwenye level nyingine kwa kila kitu ikiwemo kujitambua kisiasa. Tanzania yote mngekua na hulka ya watu wa Arusha aisei tungekua tunasoma namba sisi majirani zenu.
Kawaida kama unaendesha gari na kuingia Arusha mtu huwa anahisi kama yupo Nairobi vile. Ukiangalia wanavyochangamka na kuchakarika.
Mkuu, unachokipanda ndicho utakachokivuna! Ukipanda chuki utavuna chuki!Ona wakenya mnavyojua kuvuruga mada.
Arusha ni Tanzania period. Em someni thread vizuri mtaelewa nilichokuwa namaanisha.
Ni watu wachache tu walioielewa mada.Mkuu, unachokipanda ndicho utakachokivuna! Ukipanda chuki utavuna chuki!
Katika thread yako ulipanda mjadala wa "Arusha sio Tanzania, kutohesabu Arusha kama sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kuuliza watanzania wangapi watakubali Arusha imegwe na kuwa common territory ya EAC."
Kwahiyo kusema Arusha ni TZ period au kusingizia wakenya wanavuruga mada ni contrary na thread yako. Kubali tu kwamba ulichotaka kuvuna umekivuna!
Kwani Nairobi kuna nini pale. Haya maeneo hatarishi kama kibera unayajua ? Ushamba tu unakusumbua
Wewe unakosea ku generalise kwamba wabongo tuna inferiority complex. Kwani wakenya mnapotukana ina maana na nyiye mna inferiority complex? Ingawa tayari ulishatukana wabongo kuwa na inferiority complex!Hivi mtu akisema climate ya Arusha na Nairobi zimefanana inakuuma hadi unatoa mitusi hivi? Kweli wabongo inferiority complex itawamaliza.
Kwani kibera ni Tusi?Hivi mtu akisema climate ya Arusha na Nairobi zimefanana inakuuma hadi unatoa mitusi hivi? Kweli wabongo inferiority complex itawamaliza.
Wewe unakosea ku generalise kwamba wabongo tuna inferiority complex. Kwani wakenya mnapotukana ina maana na nyiye mna inferiority complex? Ingawa tayari ulishatukana wabongo kuwa na inferiority complex!
Karibuni Geniva of Africa
Naona watu wa Kilimanjaro, Arusha na Nairobi mmeungana na lengo lenu kuichimba Dar es Salaam na watu wa Pwani...acheni wivu vijana aliyetangulia ameshatangulia cha msingi mjipange mrudi na mjenge makwenu ili miji hiyo ifikie standard za Miji na ustarabu wa Pwani.
No offense just reality.
Achana nae mkuu.
Lengo langu ilkuwa ni kuuchafua huu uzi na nimeshafanikiwa kwa msaada wa shoga(punga) wa kijijini arusha usiejielewa .
Na tayari umedhihirisha kichwa chako kilivyo tupu na mawazo yako mfu.
arusha ni pakawaida ila mashoga ndio wanaokuza ukanda, ukabila na ubaguzi.
Nimeshafanikiwa lengo langu la kuuchafuaal huu uzi ni kama taka sasa.
Unaweza ukaendelea na ushoga wako sasa.
Kwa heri
Duuuuh...mpaka umejua kuwa mwanaume nina dude ndogo ulijuaje?
Ulipimia wapi ikiwa wewe si shoga?,??
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Imekuwa too much mashoga, mashoga!
Tunaanza kukuhisi una mahusiano nao umewang'ang'ania mno!
Inawezekana walikupiga chini sasa umekuwa na hasira nao. Kama mpenda vinyesi sema tu husiogope! [emoji23] [emoji23]
ARUSHAAAAAA
Ndiyo maana uko wrong! Sijakataa baadhi ya wabongo wana inferioty complex! Kama ungetumia hilo neno inferioty complexy to refer specifically kwa huyo mtu aliyesema wewe mshamba, hapo unge make sense. Lakini, unaposema wabongo wote hapo unakosea mkuu. Sisi watanzania hatuwezi sema wakenya wote wezi ingawa kumetokea ujambazi mwingi TZ involving baadhi ya wakenya. Au tuseme wakenya wote wanaishi Kibera kitu ambacho siyo kweli! Kufanya hivyo ni generalisation and stereotyping the whole nation.Mtu akiwa na tabia za kijinga ama kusema ujinga na aitwe mjinga hilo si tusi. Lakini mwenzako akisema jambo ambalo ni personal observation na halidhalilishi yeyote kama 'climate ya Arusha na Nairobi zinafanana' alafu unamporomoshea mitusi na kumuita mshamba huyo mtu unaeza mchukulia aje kama sio inferiority complex? Hivi nikisema climate ya Dar Na Mombasa zinafanana hilo litakufanya unitusi? Hata kama unaona tofauti si hilo ni jambo unaloweza kuwasilisha kwa njia ya ustaarabu?
Na sio eti nimegeneralize, ni vile hii tabia nimeiona saana kwa wabongo wengi humu na in real life.
Nairobi walker,Hivi mtu akisema climate ya Arusha na Nairobi zimefanana inakuuma hadi unatoa mitusi hivi? Kweli wabongo inferiority complex itawamaliza.
Huyo uliyemnukuu ni nani na ni raia wa wapi? Bila shaka sio mtanzania, tena alitakiwa akamatwe haraka sana baada ya kutoa kauli hiyo bila kujali alimaanisha nini. Kila mtu anajua tumetoa sehemu ili kuweka ofisi za EAC, kwahiyo vikao vinaishia kwenye hizo ofisi tu wasilete upumbavu, mambo ya Arusha ni ya watanzania.Ni watu wachache tu walioielewa mada.
Nimemnukuu mtu anayefanya kazi EAC. Arusha ni Tanzania lakini kwenye kazi za EAC haihesabiwi kama sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Reread tena utaelewa.
Hayo mambo ya ukanda na ukabila yameletwa na wenye akili ndogo waliosoma hii thread lakini ukipitia kwenye comments unaona kuna magreat thinkers japo wachache walioelewa.