TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 23,914
- 23,079
Sidhani.....Jambazi,mimi nipo Arusha na ni Ofisa wa Polisi,Sa....
Sidhani.....Jambazi,mimi nipo Arusha na ni Ofisa wa Polisi,Sa....
Weka akiba ya maneno.Yaani hawa mawakili wameamua kula pesa za jambazi. Maana hapo sasa mvua zinakwenda kuongezeka hadi 60. Hakuna jinsi Sabaya ana chomoka kwenye mashtaka.
Kwani lugemalila alikuwa gaidi la magaidii kama jamaaa yenuu??Rugemarila alikaa huko muda gani na ni kitu gani kilimtoa huko...?! Then what next to him??
Kwani lugemalila alikuwa gaidi la magaidii kama jamaaa yenuu??
Yaaani gaidi limo lupango na hili hujalionaHebu nithibitishie huyo unayesema ni gaidi, ni gaidi kweli!!
Sabaya ni jambazi, tena yeye ndiye gaidi haswa yani! Ataozea jela huyu mme wako...
Kujiona huko sahihi kuliko wenzio.Wote wanaomtetea sabaya ni wapuuzi na mazuzu sana...
Sabaya anataka kuibishia cctv.Yaani hawa mawakili wameamua kula pesa za jambazi. Maana hapo sasa mvua zinakwenda kuongezeka hadi 60. Hakuna jinsi Sabaya ana chomoka kwenye mashtaka.
Rudi shule ukajifunze kuandika Kwa ufasaha! Kingai mkubwa wewe!Ni sawa na hao wanaomtetea gaidi mbowe, niwapuuuzi kama wapuuuzi wenginee
Duh! Umeupiga mwingi mkuu😂Wewe elimu yako ni darasa la saba au form 4 with div 4,maana kwa mujibu wa waziri wako ndo level inayotakiwa kwa polisi
😂😂😂 inaitwa grandiosityKujiona huko sahihi kuliko wenzio.
NI dalili za ugonjwa wa akili
Gaidi ni mume wako kumbeRudi shule ukajifunze kuandika Kwa ufasaha! Kingai mkubwa wewe!
Hapana ni Basha wako!Gaidi ni mume wako kumbe
Sabaya anakusalimiaYaani hawa mawakili wameamua kula pesa za jambazi. Maana hapo sasa mvua zinakwenda kuongezeka hadi 60. Hakuna jinsi Sabaya ana chomoka kwenye mashtaka.