mnoIkulu patamu Sana!
Tumeisikia wote hiyoWakati ametoa nafasi ya watu wa Arusha kutoa dukuduku Lao kupitia mabango
Alimuita Mrisho Gambo huku akiuliza watu wako wapi?
Mrisho sijui akamjibu nini
Magufuli kwa bahati mbaya bila kujua microphone zipo on akasema ni wapumbavu kabisa.
Mrisho Gambo ni watu gani hao wameitwa Wapumbavu na Magufuli?
Ndo kiwango cha juma ponda maharageMtu yule yule hotuba zile zile maeneo tofauti
Mods huu uzi mmeunganisha huku ili iweje kuna uhusiano gani wa watu kuitwa wapumbavu na maafisa walio tunukiwa nishani?Wakati ametoa nafasi ya watu wa Arusha kutoa dukuduku Lao kupitia mabango
Alimuita Mrisho Gambo huku akiuliza watu wako wapi?
Mrisho sijui akamjibu nini
Magufuli kwa bahati mbaya bila kujua microphone zipo on akasema ni wapumbavu kabisa.
Mrisho Gambo ni watu gani hao wameitwa Wapumbavu na Magufuli?
Uko sahihi kabisa na viongozi wao ni true reflection"Tanzania ni ya kipekee duniani". Hakika ni ya kipekee kwa kuwa na wananchi mazumbukuku!