Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,508
- 911,249
- Thread starter
- #41
Uchambuzi na hisia hizi ni tofauti na hali halisi iliyoko arusha na sisi baadhi ya waarusha.
1. Wananchi ndio waliomchagua lema, hajajichagua. Kwa bahati nzuri lema amekuwa msikivu na mtekelezaji wa matarajio ya watu waliomchagua
2. Serikali toka uchaguzi uishe, ina agenda ya kumwadhibu lema na wapiga kura wake. Kwenye fizikia kuna sheria muhimili inasema "action and reaction are equal and opposite". Kisiasa kauli mbiu dunia kote masuala ya kisiasa hutatuliwa na majadiliano si mabavu (vita). Kwa hiyo dola iendelee tu na mabavu yake lakini itapambana na nguvu ile ile kupinga upuuzi huo.
3. Watu wengi wameingia kwenye mtego kuwa fulani binafsi ndiye mkorofi. Tafakuri yangu ni kwamba je huyo mtu mmoja ndiye anaathriwa na ufisadi, uchumi mbovu, utawala wa kimla, njaa, utendaji duni wa serikali? Ni mambo mengi ambayo mwenye busara atabaini kuwa sintofahamu ya maisha na utawala mbovu kwa uongozi mufilisi wa ccm yanaeleweka hata bila mtu kuhutubiwa.
4. Kweli kuna hisia tofauti tofauti ambazo ndizo msingi wa wachangiaji, lakini wengi zaidi hasa wanachi hawaishi kwa hisia au kufarijiwa kwa maneno, wanaishi kwa matumaini wanayopewa na viongozi makini. Kwa sababu hiyo suala la woga linaelekea kuyeyuka. Mwisho wake ni utekelezaji wa waraka wa lema
ngongo na wenzio bakini na hisia na matarajio ya mwanadamu kuzaa ndama
hao wananchi waliuomchagua lema na mimi nimo..........................tumechoshwa na siasa zake za ugomvi..........tunahitaji mtu wa kwenda kujenga hoja bungeni..............................Arusha tunakero nyingi na haya mapambano yake laiti kama angelitueleza kabla hajachaguliwa tungelimkataa.........................baada ya kuchaguliwa kaanzisha ajenda zake...................anti-developmental....................ishara ya kwanza ni kuwa hatutapiga kura ya madiwani....................na ccm will be back in style......................na hapo lema will know the writing is in the wall for him.........