Arusha nisaidieni kumpata huyu tapeli

Arusha nisaidieni kumpata huyu tapeli

Ringo Edmund

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2010
Posts
4,879
Reaction score
1,134
Anaitwa siwale Stanley Mwachali (mustach) alikuwa anakaa Sakina White Rose, ni dalali wa nyumba viwanja na mashamba, huko Sakina kahama baada ya kutapeli vya kutosha.

Ni mtu wa Iringa mzaliwa wa Mpwapwa Dodoma yupo hapa mjini Lakini anajificha kwa wanawake, atakayesaidia kumpata zawadi nono natoa no zake ni 0764743153,0782760625.

Atakayempata anipigie 0653533784.
 
Ha ha ha a, laki si pesa mimi Mtumishi wa mungu nataka nimtie mikononi mwenyewe ndo maana hata polisi siendi.
 
Pole sana . Sasa kama ni mtumishi wa Mungu c uombe tu ajilete? Au ni mtumishi mwenye imani haba?
 
Mungu Kuna vitu vya kumtegemea hivi vya kizembe vinashughulikiwa kihuni jumong
 
Cna pic yake, ujanja hakunizidi lilikuwa ni suala la uaminifu tu.
 
Kama wew ni mtumishi wa Mungu usingemdhalilisha kwa kiwango hiki. Mtumishi wa Mungu himuona mtu mwovu kwa jicho lingine kuwa hatapeli kwa kutaka kwake bali shetani na kwa maana hiyo humhurumia na kumwombea. Mbona wew unafanya tofauti?
 
Mvizie hapo whiterose bar...au hapo kijiwe cha triple A taxi....namfahamu vizuri huyo jamaa
 
Nko hapa nje triple A kwenye tax naendelea kumtafuta
 
kuna jamaa yangu mmoja ana vifaham vichochoro vingi na madanguro ya arusha kama kweli yupo hapa atapatikana tu.ngoja nimpe tenda.
 
Back
Top Bottom