Arusha nisaidieni kumpata huyu tapeli

Arusha nisaidieni kumpata huyu tapeli

Asanteni kwa ushauri Hilo la utumishi wa mungu Hali wezi kunizuia kumshughulikia muhuni kihuni, pia kijiwe chake zamani kilikuwa hapo triple a nilikuwa hapo ila sasa nipo kwenye kikao ngiwaranecha hapa.
 
Anaitwa siwale Stanley Mwachali (mustach) alikuwa anakaa sakina white rose, ni dalali wa nyumba viwanja na mashamba, huko sakina kahama baada ya kutapeli vya kutosha.
Ni mtu wa iringa mzaliwa wa mpwapwa dodoma yupo hapa mjini Lakini anajificha kwa wanawake, atakayesaidia kumpata zawadi nono natoa no zake ni 0764743153,0782760625.
Atakayempata a nipigie 0653533784.


....tembelea picnic utamzubula tu !!!!
 
Asanteni kwa ushauri Hilo la utumishi wa mungu Hali wezi kunizuia kumshughulikia muhuni kihuni, pia kijiwe chake zamani kilikuwa hapo triple a nilikuwa hapo ila sasa nipo kwenye kikao ngiwaranecha hapa.

...ha ha ha Mkuu Ringo filigisi zipo hapo ??? nimezimisi sana ....
 
Mpwapwa anakaa sehemu gani, nitajie ndugu zake wa Mpwapwa na ni mwachali yupi? ukinijibu unampata baada ya sekunde 5
, uni pm nikwambie
 
Pole kaka kwa kupigwa. Peleka hiyo namba police cybercrime watatrace mawasiliano yake utampata. Simu hizi polisi wako vizuri kwenye makosa ya kimtandao
 
Anafichwa na wanawake!! Kwa papuchi naona atakuwa ni zaidi ya Messi.
 
Huyu Jamaaa hayuko Arusha tena. Keshahamia Dar. Ukitaka kumpata nenda pale kinondoni manyanya kwenye kijiwe cha canter anapenda kukaa pale na rafikize au sinza shekilango karibu na Rombo green view.
Kabadilisha namba sasa anatumia 0713678900
na huku dar anajifanya mfanyabiashara wa madini.
 
Kama wew ni mtumishi wa Mungu usingemdhalilisha kwa kiwango hiki. Mtumishi wa Mungu himuona mtu mwovu kwa jicho lingine kuwa hatapeli kwa kutaka kwake bali shetani na kwa maana hiyo humhurumia na kumwombea. Mbona wew unafanya tofauti?

Fal wewe acha upmbav kwenye mambo muhimu kama hili.
 
Kama wew ni mtumishi wa Mungu usingemdhalilisha kwa kiwango hiki. Mtumishi wa Mungu himuona mtu mwovu kwa jicho lingine kuwa hatapeli kwa kutaka kwake bali shetani na kwa maana hiyo humhurumia na kumwombea. Mbona wew unafanya tofauti?

Ya Mungu mpe Mungu na ya Kaisari mwachie kaisari
 
Asante msumari wa. Moto naomba unibip kwa no yangu hapo juu tuongee
 
Kuna mtu ameenda mpwapwa atanitumia picha nitaweka
 
Back
Top Bottom