Hamza swakala
JF-Expert Member
- Feb 14, 2022
- 480
- 610
Unabidi uwe ninja flani hiv chalii wangu
Dsm inanuka vinyesi vya mitaroni na kwenye chemba na pia kuna majalala kila kona. PtuuuArusha ni mahala pazuri, japo huwa panakuwa Overrated......
Kiukweli, nadhani hakuna sehemu kama Dar es salaam.......
WahayaHe who has not traveled widely thinks that his mother is the best cook.
Amani Arusha? Huwajui wakivuta mibangi yao wewe, kwanza lugha yao huwaelewi sijui wanaongea vininiDaah, vijana wa Arusha na ile mishati yenu mikubwa kama parashuti na miviatu mikubwa kama meli.....
Aiseee, sijui huwa mnawazaga nini vichwani mwenu.......
Sema nachowakubali wengi ni watu wa amani sana.......
Wanapiga dili haramu tu, kuuza ndumu ndio wanachojuaSema dingii unakosea hivi kwa watu wajanja unaweza kuwafananisha na arusha,kwanza labda nikuuleze arusha vijana wa kule wajanja sana ,wanajitambua sana kule hukuti kijana mwenye umri wa miaka 18 anakaa na wazazi wake rudi sasa huku dar unapopaona mjini unakuta mzee jitu zima lipo kwao,ukiachana na hivyo rudi kwenye kusaka maisha vijana wadogo tu arusha wanamaendeleo yao,arusha wanajitambua sana
Mibangi hiyo inakuvurugaOyooooooooo Arushaaa Arusha
Arusha
Wacha makelele na matusi
mji gani nchi hii kama Arusha.
Tunapishana na Wawatiiiiii wanapenda marasi arifuuuu
Maji masafii toka Mlima meru yanapita njee kwanguu wapi ntapata hewa swafiii Nchiii hii
Kama sio Arushaaaaaaaaaa arushaaaa
Pigaaaa keleeeee
Manka ni wa Arusha au kibosho huko migombani?Manka anakuambia ingiza yotee ili unipe ela yangu yotee
Washwa tuuu NikukuneeMibangi hiyo inakuvuruga
Ushabwia ugolo lakini?Hakuna sehemu kama Arusha, hali ya hewa safi, wakazi wa arusha wakarimu sana, pesa inapatikana ukijituma utapata,watu wa arusha wajanja, wazungu kwetu washikaji zetu.
Natanguliza shukrani kwa mwenyezi Mungu,mwingi wa rehema mwenye kutukuka,uliyekuwepo toka mwanzo na utakuwepo mpka milele.
Nimezaliwa arusha enzi zile na nikakulia arusha,nikasoma sanawari primary school,sec nikasoma Edmunds rice sinon school,chuo nikasoma mwika college of tourism,pia nimesoma sakina institute of information technology, kwa kipindi chote hicho nilichilokulia Arusha naweza nikasema hakuna sehemu panzuri kama arusha,na feel proud kuzaliwa A.town(Geneva of East africa), maisha ya arusha sio magumu kama watu wanavyosema,kama unauhakika wakupata doo kila siku utahama arusha,watu wa kule wapiga business kweli kama utajichanganya vyema utakosa doo, ukitaka kufanikiwa arusha fanya biashara hiii.
Tafuta viatu vya mtumba mkali, jeans kali makoti makali,shati dog dog og kabisa,makobasi ya maana fungua goli lako maeneo kama sanawari, ilboru, mianzi, sakina, kijenge, sekei na maeneo yaliochangamka.
Watu wa arusha wanapenda kuvaa vinzuri,kama unajua ngeli jichanganye kwenye utalii utajuta hata siku moja.
View attachment 2364815
View attachment 2364816
View attachment 2364817
View attachment 2364818
View attachment 2364819
Kamuulize mama ako jana kamdinya nani??Ushabwia ugolo lakini?