jamani arusha ni kitu nyingine kama unafikiri natania njoo arusha unywe bia zako ulete za ki darisalame uone maneno yako.
kule bwana hawatanii,nilishuhudia moja pale sakina jamaa waliingia kuchukua mauzo kwenye super market palikuwa hapatoshi.
wazee wa kazi walipopiga zao kumbe machalii nao wanazo.
dar ukipiga simu polisi wanakuja baada ya saa moja arusha polisi mpaka wahakikishe zimetulia wanaongeza masaa mawili ndipo wanakuja.
hivi bado unaendaga club ? Duh hii ni kali.
Sio Ubabe ni ushamba.
Arusha hamna washamba,wote wajanja!ukitaka kujua kuwa wote wajanja embu tia timu ufundishwe maisha ya kimjini mjini!
Mbona kila mmasai ana sime na husemi..,au mbona Rage kule Igunga alipanda na hiyo kitu hukusema..,?tujadili hoja za msingi..,sio za masaburi..!Jamani huku Arusha karibu kila kijana mwenye maisha mazuri kiasi anamiliki bastola . Sijui kama kuna mkoa watu wanamiliki silaha kama huu . Ni kwanini inakuwa hivi ? Nipe sababu zako.
Mbona kila mmasai ana sime na husemi..,au mbona Rage kule Igunga alipanda na hiyo kitu hukusema..,?tujadili hoja za msingi..,sio za masaburi..!
Ni dalili ya ushamba. Wameambukizwa na nchi jirani ya Kenya.
Hata sehemu za Starehe utawakuta na Silaha , Bastola au Kisu mfukoni, ni wanaume wasiojiamini.
Nondo zinatumika kwa imani za kishirikina mkuu...sio kama mbinu za kujihami,isitoshe matukio kama hayo wahusika si wenyeji wa Mbeya zaidi si Watanzaniaumesahau nondo.
arusha wababe ni wengi,ukiwa umelemaa imekula kwako,beto,screwdriver,bastola ni muhimu sana ukitembea ucku,hadi watoto huwa wanabeba uma wakitoka ucku. . .kwj majumbani kuwa na gobore ni jambo la kawaida tu.ukitaka kujua ziko nyingi karibu usherekee mwaka mpya ngaramtoni,utadhan popcorn zinapasuka.arusha ni balaa
Karibu,ila ututafute wenyeji wa mji la sivyo tunakusahau!!!Next week nakuja bila hata silaha.
Maandishi yako yanaashiria 'uchama na ukabila'. Arusha imejaa majambazi ndio maana watu wengi wana silaha za kujihami. Ww unaita hayo ni maendeleo?Hayo ndio maendeleo tunayotaka! Hongera CDM, Hongera WACHAGA!