Arusha na silaha


nakumbuka sana huo wizi mkuu ilikuwa balaa wezi walifunga mtaa mzima.
 
Jamani huku Arusha karibu kila kijana mwenye maisha mazuri kiasi anamiliki bastola . Sijui kama kuna mkoa watu wanamiliki silaha kama huu . Ni kwanini inakuwa hivi ? Nipe sababu zako.
Mbona kila mmasai ana sime na husemi..,au mbona Rage kule Igunga alipanda na hiyo kitu hukusema..,?tujadili hoja za msingi..,sio za masaburi..!
 
Mbona kila mmasai ana sime na husemi..,au mbona Rage kule Igunga alipanda na hiyo kitu hukusema..,?tujadili hoja za msingi..,sio za masaburi..!

kweli we una matatizo mwili mzima . Unalinganisha bastola na sime ? Unaupungufu wa kitu flani kichwani.
 
Ni dalili ya ushamba. Wameambukizwa na nchi jirani ya Kenya.
Hata sehemu za Starehe utawakuta na Silaha , Bastola au Kisu mfukoni, ni wanaume wasiojiamini.

Asante kwa kunijulisha!!kumbe m2 akimiliki silaha ni dalili za ushamba na kutojiamini?
 
Mimi huwa najiuliza kama unaamini Mungu yupona anakulinda usiku na mchana kwanini unatembea na Bunduki/Bastola kiunoni?
 
umesahau nondo.
Nondo zinatumika kwa imani za kishirikina mkuu...sio kama mbinu za kujihami,isitoshe matukio kama hayo wahusika si wenyeji wa Mbeya zaidi si Watanzania
 

mkuu nakumbuka dingi alikuwa anagobore lake analificha darini ikifika mida ya jioni kama saa moja moja hivi basi anaachia mambo hewani kama mara tatu. yote hiyo anakwambia ilikwa ni kufukuza wezi au kuscare away thieves.
basi ilikuwa ikipigwa mitaa yote kimya... arusha ni nomaaa. vijana wa a-tz hatujakaa kimama ukilianzisha tunaparangana shwain....
 
Wakuu naomba kuuliza, bastola ipi ni bomba zaidi kuwa nayo? Nasikia zipo za aina nyingi eg Star, CZ na kadhalika.

Ipi iliyo kiboko zaidi?
 
njoo bwana hamna vita huku . Watu waarusha tunaupendo sana .
Unamdanganya mwenzako,kuwa mwangalifu ukija Arachuga,alafu wageni wengi huwa wana ma'ankra za kutosha kama hizi
 
Hayo ndio maendeleo tunayotaka! Hongera CDM, Hongera WACHAGA!
Maandishi yako yanaashiria 'uchama na ukabila'. Arusha imejaa majambazi ndio maana watu wengi wana silaha za kujihami. Ww unaita hayo ni maendeleo?
 
Wakuu naomba kuuliza, bastola ipi ni bomba zaidi kuwa nayo? Nasikia zipo za aina nyingi eg Star, CZ na kadhalika.

Ipi iliyo kiboko zaidi?

kuna nyingi kiboko sasa sijui utapendelea ipi . Kuna za usa ,cz , ubelgiji , rusia na israel.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…