mpingauonevu
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 621
- 434
Ukifika arusha kwa mara ya kwanza kama umeshafika Dar na mwanza utashangaa kuona kamji kadogo kuliko sifa zake. Nataka tujadiliane mambo yanayotishia Amani ya Arusha. Jambo kubwa ni kwamba uchumi wa Arusha umeshikwa na watu wenye fedha chafu.Wako wenye fedha safi lakini wanaojulikana na ambao utabahatika kuona vigorofa vyao ndio hao wahalifu sugu. Hebu fuatana nami.
1 A.M Investment (Alex Massawe)
Huyu alitumia mda mrefu kukimbia hadi afrika ya kusini kukwepa mkono wa sheria kwa kuua. Ni mtumaarufu kwa ukatili na unyama kuliko anavyoonekana. Ni jambazi sugu.
2. CHUSA
Sikuwa namfahamu sana mpaka juzi baada ya Erasto kuuwawa ndipo nilimfahamu. Nilikuwa niingie kwenye mtego mbaya wa kufanya naye biashara Mungu akanisaidia. Huyu kukutoa roho ni njenje.
3. ERASTO
Pamoja na kwamba ni marehemu lakini ameacha biashara nyingi ambazo kusimama kwake kumetegemea sana mtutu wa bunduki. Lakini tamaa ya wake za watu hasa wana appollo yaweza kuwa ilimponza na tabia ya kupiga picha na kuonyesha kama ameshajamiiana na mke wa mtu.
4. NYARI
yeye huyu ujambazi wake ni wa kupora madini. Yawezekana baada ya Minja na Patel kumnyoosha atakuwa ametulia kidogo.
5. MREMA
impala, Naura springs na Ngurdoto lodge ni baadhi ya vitega uchumi. Alikuwa dobi na mpaka sasa uwiano wa anachoingiza na biashara zake kuota kama uyoga haviendani. Huyu ni bastola mkononi.
6, Salim ally
Huyu nduye mwarabu anayeongoza kwa kuupamba mji wa Arusha kwa maghorofa yake. Ukiacha Naura springs maghorofa yote yanayomeremeta Arusha kwa ubora ni ya kwake (ingawa ni matatu yanatisha sana kwa thamani yake na hili jingine likiisha ni balaa.) Yeye huyu aliwekwa ndani kwa mda mrefu kwa kuhusika na biashara za kuuza watu (human Trafficking) nadhani na igaidi pia.
ikitokea vitega uchumi vya hawa watu vikaondolewa Arusha itabakia uchi na vigorofa vichache sana. Hii inaisogeza imani yangu kwamba uchumi wa Arusha umeshikwa na majambazi na ndio maana mauaji na visasi vimezidi.
1 A.M Investment (Alex Massawe)
Huyu alitumia mda mrefu kukimbia hadi afrika ya kusini kukwepa mkono wa sheria kwa kuua. Ni mtumaarufu kwa ukatili na unyama kuliko anavyoonekana. Ni jambazi sugu.
2. CHUSA
Sikuwa namfahamu sana mpaka juzi baada ya Erasto kuuwawa ndipo nilimfahamu. Nilikuwa niingie kwenye mtego mbaya wa kufanya naye biashara Mungu akanisaidia. Huyu kukutoa roho ni njenje.
3. ERASTO
Pamoja na kwamba ni marehemu lakini ameacha biashara nyingi ambazo kusimama kwake kumetegemea sana mtutu wa bunduki. Lakini tamaa ya wake za watu hasa wana appollo yaweza kuwa ilimponza na tabia ya kupiga picha na kuonyesha kama ameshajamiiana na mke wa mtu.
4. NYARI
yeye huyu ujambazi wake ni wa kupora madini. Yawezekana baada ya Minja na Patel kumnyoosha atakuwa ametulia kidogo.
5. MREMA
impala, Naura springs na Ngurdoto lodge ni baadhi ya vitega uchumi. Alikuwa dobi na mpaka sasa uwiano wa anachoingiza na biashara zake kuota kama uyoga haviendani. Huyu ni bastola mkononi.
6, Salim ally
Huyu nduye mwarabu anayeongoza kwa kuupamba mji wa Arusha kwa maghorofa yake. Ukiacha Naura springs maghorofa yote yanayomeremeta Arusha kwa ubora ni ya kwake (ingawa ni matatu yanatisha sana kwa thamani yake na hili jingine likiisha ni balaa.) Yeye huyu aliwekwa ndani kwa mda mrefu kwa kuhusika na biashara za kuuza watu (human Trafficking) nadhani na igaidi pia.
ikitokea vitega uchumi vya hawa watu vikaondolewa Arusha itabakia uchi na vigorofa vichache sana. Hii inaisogeza imani yangu kwamba uchumi wa Arusha umeshikwa na majambazi na ndio maana mauaji na visasi vimezidi.