SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,923
Aisee kama Ni kweli basi inasikitisha sana. Sasa sisi wenye magenge Yetu Ya chips sijui tutaishije
Ujue hiyo ndio itakuwa kwa nchi nzima.
Uamuzi huu una athari mbaya sana kwa CCM na serikali yake.
Wakuu,
Nilibahatika kwenda kwenye mkutano leo nikamsikia mkuu wa wilaya ya Arumeru akisema mwisho wa kutembea ni saa nne usiku. Yaani mpaka kufikia saa tano asionekane raia yeyote zaidi ya askari polisi.
Huku akimsisitiza mkuu wa polisi "nadhani umenielewa" Hii imekaaje kihaki za raia wadau.
Wenzetu nchi jirani wanafanya biashara saa 24 hasa supermarkets na mahotelini huyo mkuu hataki serikali ipate kodi?
Airport na bandari zitaishia kufungwa usiku pia
Policcm Ongezeni vibanda vya kutupokeaWakuu,
Nilibahatika kwenda kwenye mkutano leo nikamsikia mkuu wa wilaya ya Arumeru akisema mwisho wa kutembea ni saa nne usiku. Yaani mpaka kufikia saa tano asionekane raia yeyote zaidi ya askari polisi.
Huku akimsisitiza mkuu wa polisi "nadhani umenielewa" Hii imekaaje kihaki za raia wadau.

Usimpakazie Nyerere, Mwalimu hakuwahi kuvunja Katiba hata mara moja!Nyakati za Nyerere zinarudi.
Bado kugongewa milango usiku wa manane na watu wa Usalama.