mwengeso
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 9,219
- 6,650
Usifanye mawazo yako yawe yangu, tafadhali. Kwanza sikukujibu wewe, pili wakati tukio hilo bado liko katika upelelezi, wengi wetu humu tumekwisha toa hukumu. Du!!Kwa maana nyengine unaona kitendo alichofanyiwa huyu mwandishi wa habari unaona ni haki. Kweli mtu mweusi amelaaniwa hawa wazungu hawakoseagi kuita hizi nchi shithole