Ibambasi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2007
- 9,278
- 4,683
Mwambieni Lissu Basi aseme neno
Mwambieni Lissu Basi aseme neno
Maana kwa risasi anakufa haraka.Huyo mtu alitakiwa achinjwe na kiwembe taratibu hadi afe, yan kaua watoto wasio na kosa kila laki 3.
Sent from koromije using bashite
APUMZIKE KWA AMANI?????? USEME HUKO AENDE AKAKUTANE NA HUKUMU YAKE AMBAYO NI ENDELEVU HADI SIKU YA MWISHOApumzike kwa amani
Sent from my Priceless H40-D00 using JamiiForums mobile app
bora wamefanya hivyo angeenda kula ugali wa bure huku wakimuhukumu kunyongwa halafu asinyongweSafi sana
Hapo polis wamemkomesha, lakin waseme ukweli tu alikua hatoroki
Watakua walimwachia then wakamshoot
D.A "Mwanaume mashine"
18 yrs haez kuwa peke ake, kisasi moja ya mguu zingemtosha sio kumuua.Jeshi la Polisi Mkoani Arusha limemuua kwa kumpiga risasi muuaji na mtekaji wa watoto Samson peter (18) wakati akijaribu kutoroka katika eneo la Mkonoo, muriet alipokuwa amewapeleka Polisi kuonyesha washirika wenzake wa matukio ya utekaji.Kamànda wa Polisi Arusha ameeleza mapema leo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Angechomwa motoAisee Bora wamemdhibiti kwa kumuua...Apumzishwe panapostahili
Mac. hoook ooo utawajutu .hata kwenye mambo yamsingi wanaleta genye.Mwambieni Lissu Basi aseme neno
aiseeAngechomwa moto
Akili kama hizi hatuwezi kuendelea hata nchi kubwa kama Uingereza, Marekani Suspects wanauawa mtu aliyetaka kukimbia. Askari wanafanyaje? Kuna watuhumiwa ambao huwa ni wa kawaida ambao wanakua na escort ndogo huyo dogo anajaribu kuwakimbia Armed Police wenye difender 4. Lazima wamiminie Risasi na kuua huwa inahesabika kuwa ni bahati mbaya kwa sababu si lengo lao.Ifike mahala wakague vyeti huko Jeshini. Unamuuaje mtuhumiwa kizembe hivyo? Kama ana mtandao wa uhalifu si ndio washakosa kuufahamu? Kuna muda watumie akili sio nguvu kila mahali.