Kabisa angepatwa fursa ya kuonana na wazee wa interrogation, asimulie vizuri usikute kuna gang hapo limeamua kumpoteza kupoteza usahahidi
Na una uhakika toka Geita mpaka Arusha hakua interrogated mkuu!??hii 'alikua anatoroka chini ya ulinzi' au 'alijaribu kupambana na polisi' ni signature move ya polisi kuhalalisha kuuawa kwa watuhumiwa ambao 'hawana kazi nao tena' so please,msifikiri ni wapuuz wa kiwango hicho.furahia usalaama huo mdogo ulio nao sababu yao!