Domhome
JF-Expert Member
- Jun 28, 2010
- 3,198
- 3,972
Kwahiyo Ulifanyaje Mkuu? Uliitika?Mkuu. Usinikumbushe kipindi tunaandika majina feki gesti.
Jina lililopendwa sana Ni la afande mmoja wa jkt mnoko.. kumbe yule mhudumu amenimaki na lile jina kwasababu nimeingia Mara kwa Mara. Sasa siku tunakutana msibani akaniamkia kwa jina feki wakati nimezungukwa na majirani ndugu na jamaa.