ARUSHA: Msichana akutwa gesti amefariki

ARUSHA: Msichana akutwa gesti amefariki

Mh! Yaani umeona MTU kaingia gesti. Unaendamtafuta kwingine kwanza,ukikata tamaa ndio unarudi gest.

NB: Usione watu wanafeki majina wakiingia gesti,umejaribu kastaili ulikokasikia kwa masela,mtoto wa watu chalii.
Unarara mbere
Manzi wa chuga akishaukalia , mara nyingi hupelekwa kwa mromboo kula mbuzi, ndiyo maana waelewa walianzia kwa mromboo then sakina kwenye kiti-moto na walipomkosa ndiyo wakarudi gesti
 
Safari ya lazma ya akhera hii kwa kila mmoja wetu huwa ikifika tu ni huzuni na simanzi.
Wacha nisikilize kwanza wimbo "Forever Young" wa Jay Z hapa huku nikifuta chozi.
My Condolence
Acha woga mkuu.
We'll all die one day.
Hakuna chochote baada ya kifo ni usingizi bila kusikia kitu au maumivu.
Hakuna kumbukumbu wala kufufuka, msitishwe na kifo.

Kifo shida yake kuvikosa vitamu vya dunia hii tu.
 
Miaka 18? Afu tunasema wanabakwaga?



Wale wake za watu mnaoendaga kubanduliwa guest pindi waume zenu wanaangalia mechi za VPL zamu yenu yaja.
 
Inasikitisha ila inawezekana msela kalala mbele..baada ya kuona mwili umeganda
Police wamethibitisha kafa kifo cha kawaida. Ina maana wamejiridhisha hukuingia chumbani na mtu na pia mwili hauna dalili ya kunyongwa wala kubakwa. Wazo la msela kulala mbele unalitoa wapi? Wazinzi bwn....mnawaza hayo tu!!!
 
Police wamethibitisha kafa kifo cha kawaida. Ina maana wamejiridhisha hukuingia chumbani na mtu na pia mwili hauna dalili ya kunyongwa wala kubakwa. Wazo la msela kulala mbele unalitoa wapi? Wazinzi bwn....mnawaza hayo tu!!!
Aah kumbe mtu akiwaza ivo ni mzinzi
 
Police wamethibitisha kafa kifo cha kawaida. Ina maana wamejiridhisha hukuingia chumbani na mtu na pia mwili hauna dalili ya kunyongwa wala kubakwa. Wazo la msela kulala mbele unalitoa wapi? Wazinzi bwn....mnawaza hayo tu!!!
Huwajui policcm wewe hawataki kumtisha muhusika damu ya mtu haiendi bure kuna mtu jumba bovu litamuangukia kuhusu hiki kifo
 
Binti wa miaka18 kafia guest !!!

Daahh!!
.....terrible

Too young to depart....

Ila kwa maisha ya CHUGA...tukio jamili hizo hutokea.....

Chuga Kuna mambo Sana.....

Watu wanatafuta PESA huku roho wakiziweka mikononi....
 
Huyo Ni mwenyeji wa hivyo viunga ndio maana alitafutwa na nduguze mitaani walipoona hawajampata wakaelekezwa na mtu aliye muona akiwa anaingia guest ...so hakuwa mgeni kama jinsi ambavyo wewe unavyotaka ieleweke
Okay, tufanye basi siku hyo aliamua kubalidisha mazingira na kwenda kulala guest ila kwa bahati mbaya yametokea yaliyotokea, hapo je utasemaje? Coz sometimes kulala katika mazingira yale yale inachosha na pengine angekuwa na uwezo angechukua hoteli hvyo angefia hotelini sidhani kama kuna mtu angemuhisi vibaya, coz kile kinachofanyika Guest kinaweza kufanyika Hotelini pia utofauti unakuwa ni mdgo tu kati ya sehemu hzo mbili
 
Usiombe yakutokee.....

Usiombe kabisa YAKUTOKEE....

Kuna kijana mwenzangu mmoja mwenye SPECIAL POSITION katika elite agencies za nchi alikuja kuniamsha saa 8 usiku huku akiwa kama CHIZI....
Jamaa alichanganyikiwa na kuwa nusu mwehu kwa kunijia na BOKSA tu daaah 🤣

Nilipomtuliza nikagundua DEMU wake aliyekuwa first year chuo kikuu Cha tiba huko MIKOCHENI...ameanguka kitandani na kuanza kutoka MAPOVU MDOMONI na DAMU PUANI yaani nilipokwenda nilimkuta akiwa na hali mbaya mno.......

Mshkaji aliwehuka km siye "Rambo nimjuae"........🤣
 
Police wamesema kifo cha kawaida jalada limefungwa hapo
Police wanawezaje kusema kifo Cha kawaida?!!!

Mwili wa marehemu ulipelekwa hospitali kuchunguzwa?!!

Postmortem ilifanywa kufikia isemwe kifo cha kawaida?!!
 
Nimapema sana kumuhukumu ,tuliobaki tumuombe Mungubhasa tuwe na mwisho mwema
 
Angekua mwanaume tungesema Alitumia Mkuyati hafu pisi ikaghairi kutokea..
 
Back
Top Bottom