Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 16,894
- 25,908
Manzi wa chuga akishaukalia , mara nyingi hupelekwa kwa mromboo kula mbuzi, ndiyo maana waelewa walianzia kwa mromboo then sakina kwenye kiti-moto na walipomkosa ndiyo wakarudi gestiMh! Yaani umeona MTU kaingia gesti. Unaendamtafuta kwingine kwanza,ukikata tamaa ndio unarudi gest.
NB: Usione watu wanafeki majina wakiingia gesti,umejaribu kastaili ulikokasikia kwa masela,mtoto wa watu chalii.
Unarara mbere