Arusha mpo!?

Filipo

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2011
Posts
9,347
Reaction score
5,553
Mvua iliyonyesha usiku wa kuamkia leo majira ya saa tano hadi asubuhi imewasababishi usumbufu wakazi wengi wa jiji hili. Wapo ambao hawakulala wakishindana na maji ya mvua. Yanaingia ndani, wao wanayatoa. Wapo waliolazimika kuchimba miferegi usiku huo, huku wakinyeshewa ili kuyakwepesha maji na nyumba zao.

Wapo waliolazimika kwenda kazini leo kwa usafiri wa umma au miguu yao baada ya barabara kuharibika. Upo usumbufu mwingi umetokea licha ya kwamba mvua waliimiss sana na walikuwa wakiitamani kwa muda mrefu. Binafsi nashukuru Mungu sikuupata na ninawapa pole waliopatwa na maswahibu hayo!
 
Hahahahahaaaaaaa Filipo wacha watu waenjoy mvua bhana ngoja niendelee zangu kula kaubaridi ka leo
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahaaaaaaa Filipo wacha watu waenjoy mvua bhana ngoja niendelee zangu kula kaubaridi ka leo

Kaubaridi kweli katamu, hata mimi nakafurahia. Nimewaonea huruma wenzangu ambao mvua "imewaachia manyoya!" Si uliona USA kimbunga kilipita kikawaacha wengine hawana makazi!?
 
Last edited by a moderator:
Mvua niliimisi sana! Jana mchana ilibeep nikasema afadhali ipunguze vumbi ila raha yake usiku. Inaniongezea kasi ya kumleta Dena Amsi ktk jiji lilozinduliwa rasmi jana na ......... ah nimisahau naombeni Filipo na Erickb52 nikumbusheni jina lake.
 
Last edited by a moderator:

Hii stile ilivyonyesha mvua inatia ashki sana...............................mvua lainiiiiiiiiiiiiii...........
 
Mvua niliimisi sana! Jana mchana ilibeep nikasema afadhali ipunguze vumbi ila raha yake usiku. Inaniongezea kasi ya kumleta Dena Amsi ktk jiji lilozinduliwa rasmi jana na ......... ah nimisahau naombeni Filipo na Erickb52 nikumbusheni jina lake.

Hivi tulikuwa na uzinduzi jana!? Zaidi ya foleni sijaona jipya!
Bado "unachumbia" Dena Amsi. Pole sana. Haka kaubaridh kanaimarisha mapenzi yetu mimi na my wife marejesho. Na ni tatizo kubwa kwa sweetlady. Lazima amtafute nitonye popote alipo!
 
Last edited by a moderator:
Hii stile ilivyonyesha mvua inatia ashki sana...............................mvua lainiiiiiiiiiiiiii...........

usije tu kufakamia supu ya mzazi!
 
Mvua niliimisi sana! Jana mchana ilibeep nikasema afadhali ipunguze vumbi ila raha yake usiku. Inaniongezea kasi ya kumleta Dena Amsi ktk jiji lilozinduliwa rasmi jana na ......... ah nimisahau naombeni Filipo na Erickb52 nikumbusheni jina lake.
Hahahahaaa cha ajabu mvua ya mchana haikufika Njiro lol palikuwa na vumbi utadhani sio Arusha
 
Kaubaridi kweli katamu, hata mimi nakafurahia. Nimewaonea huruma wenzangu ambao mvua "imewaachia manyoya!" Si uliona USA kimbunga kilipita kikawaacha wengine hawana makazi!?
Kwani na USA kulikuwa na kimbuka? Mi nilisikia ni Marekani sikudhani kama na USARIVER kimefika dah bora kiishie kwa Ngulelo kisifike mjini maana kitatutoa roho
 
Hii stile ilivyonyesha mvua inatia ashki sana...............................mvua lainiiiiiiiiiiiiii...........
Hahahahaaa kweli Mungi yan ni laini inakufanya mtu unate na beat lol unakuwa kama unaslide vile
 
Last edited by a moderator:
hali ya hewa iko safi, Arushaone wewe si unapenda sana kukaa kwenye mabenchi ya Palace Hotel,pale kwa mkuu wa mkoa,leo upumzike,patakuwa pameloa......
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…