Hawa makruta kutoka CCP walienda matejo, wakashika machalii kibao na gongo. siku ya kwanza walifanikiwa.
Siku nyingine wakaenda, hiyo ilikuwa wiki iliyopita. Kumbe watu walikuwa wamejipanga, wakajikusanya watu 15. Wale mapolisi walipokuja, wakawekwa chini ya ulinzi, wakaambiwa vua mabuti na mjifunge mashati, wakateremshwa mtoni wakatelekezwa hawana viatu.
Ndo Defender za FFU zikatumwa na hawajaona mtu.
Arusha ni Noma.
Siku nyingine wakaenda, hiyo ilikuwa wiki iliyopita. Kumbe watu walikuwa wamejipanga, wakajikusanya watu 15. Wale mapolisi walipokuja, wakawekwa chini ya ulinzi, wakaambiwa vua mabuti na mjifunge mashati, wakateremshwa mtoni wakatelekezwa hawana viatu.
Ndo Defender za FFU zikatumwa na hawajaona mtu.
Arusha ni Noma.