Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,171
- 3,346
- Thread starter
- #41
Lengo ni kuwapa awareness watu kuwa hali itakuwa shwari, na nadhani leo hii watu hawatalala kujipanga jinsi ya kukabiliana na hali hiyo kesho. Yote kwa yote lakini naomba hali hiyo isigharimu maisha ya waArusha.Hao wananchi wanaotolewa wasiwasi ni akina nani? ina maana hao watakaogoma siyo wananchi? kwa kweli ccm siwaelewi ni kiswahili gani wanachokiongea