Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,628
- 218,059
Alikamatwa kabla ya uchaguzi Mkuu wa 2020 , na kubambikiwa kesi ya uongo ya mauaji ili Mgombea udiwani wa ccm apite bila kupingwa .
Kwa wasiofahamu , Diwani ni mwakilishi wa Kata tu , tena uwakilishi wake ni kwenye vikao vya Halmashauri pekee , Cheo cha Juu kabisa ambacho Diwani anaweza kukipata ni Umeya , baaasi ! Kumsingizia mtu kesi ya mauaji kwa sababu za kugombea uongozi wa kata , tena kata yenyewe ni ya Njombe , ni jambo la kutia aibu na kufedhehesha sana !
Natoa Wito kwa Viongozi wa Kitaifa wa Chadema , wanapokutana na ccm kwenye vikao vinavyoitwa vya maridhiano , baada suala ya Katiba mpya , lingine linalopaswa kujadiliwa ni hili la hizi kesi za uongo walizobambikwa wanachadema Nchi nzima na UTAWALA WA KIKATILI WA AWAMU YA 5 ULIOSHINDWA HOJA NA KUAMUA KUTUMIA MABAVU YA KIJINGA .
Kwa wasiofahamu , Diwani ni mwakilishi wa Kata tu , tena uwakilishi wake ni kwenye vikao vya Halmashauri pekee , Cheo cha Juu kabisa ambacho Diwani anaweza kukipata ni Umeya , baaasi ! Kumsingizia mtu kesi ya mauaji kwa sababu za kugombea uongozi wa kata , tena kata yenyewe ni ya Njombe , ni jambo la kutia aibu na kufedhehesha sana !
Natoa Wito kwa Viongozi wa Kitaifa wa Chadema , wanapokutana na ccm kwenye vikao vinavyoitwa vya maridhiano , baada suala ya Katiba mpya , lingine linalopaswa kujadiliwa ni hili la hizi kesi za uongo walizobambikwa wanachadema Nchi nzima na UTAWALA WA KIKATILI WA AWAMU YA 5 ULIOSHINDWA HOJA NA KUAMUA KUTUMIA MABAVU YA KIJINGA .