Arusha: Mahakama yatupilia mbali rufaa ya mawakili wa serikali kwenye kesi ya Lema

MUNGU yupi? huyu aliyetufundisha na kutuasa kuwa na kauli njema? Na kutokuwa na kauli za kuudhi
kauli ya kuudhi ni ipi? tuanzie hapo. Kama wewe ni mwizi/mwonevu mtu akikukalipia kinyume na wewe, kauli yake lazima kwa upande wako ni ya kuuzi, lakini ni njema mbele za Mungu. sasa orodhesha hizo kauli zako unazoziita za kuudhi TUZICHAMBUE. Taratibu usitokwe mapovu
 
A tie adabu gain yavdictator uchwara Kufa mbona atakufa tu au gambo Kuwait hamnazo hivi Abada ya Miesian mine kumfungia Lema magufuli Kawaza nini
zaidi ya kushindwa kila kitu au gambo Kajenga

Chuo KIKUU Au ameendelea nakuuza sura amalizane kwanza na bashite
Unasemaje Mkuu?
 
Naona muhimili Mahakama ikionesha kujitutumua kuwa haujamezwa!!
 
Baba katika jina la yesu lema asitoke Mungu wa yakobo na Ibrahim unay3jibu maombi yetu naomba lema asitoke kwa mamlaka uliyonipa ya kuuamuru mlima na kuuhamisha nasema lema ataishi lumande mpaka mbingu utakaposikia toba juu kweli juu ya Ardhi
MUNGU HAPOKEI MAOMBI YA KIJINGA KAMA HAYO, LABDA AWE MUNGU WAKO SHETANI
 
  • Thanks
Reactions: bht
View attachment 474954
.....
.....PAMOJA Daima
Kwa pamoja cdm hiyoooo
60ad1b436f3ed38d9a7f07f5ff870944.jpg
 
Baba katika jina la yesu lema asitoke Mungu wa yakobo na Ibrahim unay3jibu maombi yetu naomba lema asitoke kwa mamlaka uliyonipa ya kuuamuru mlima na kuuhamisha nasema lema ataishi lumande mpaka mbingu utakaposikia toba juu kweli juu ya Ardhi
kalete cheti chako cha lasaba kwanza tukione
 
Kwa uamuzi huu wa mahakama wa waheshimiwa majaji Lema anarudi tena Kisongo ili aanze taratibu za mahakama za chini ili wampe dhamana.
Hope siku yako itakuwa nzuri sana na yenye furaha tele.
Mpigie simu sizonje mwambie tumemrudishaga marumande akakae huko tu.
 
Majaji watatu kesho 8:00 Asubuhi (27/2/2017) watasikiliza rufaa ya Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema.

Let us see what will happen!

=======
Lema akiingia Mahakamani leo

View attachment 474935

UPDATE:

Mahakama ya Rufani imetoa maelekezo ya kesi irudi kwenye mahakama zenye dhamana ya kutoa dhamana kwa Mh. Lema, kwani hakuna hoja ya msingi kwa rufaa iliyokatwa na mawakili gov't.

KUTOKA KWA WAKILI MSOMI KIBATALA

Mahakama ya Rufani ya Tanzania (Luanda, Kipenka, Mugasha, JJA) iliyokaa Arusha leo 27th February 2017 imetupa Rufaa zote mbili zilizofunguliwa na Serikali dhidi ya maamuzi ya Mahakama Kuu Kanda ya Arusha kuhusiana na dhamana ya Lema. Serikali ilikubali yenyewe kwamba Rufaa zote mbili hazina mashiko kisheria; kama tulivyokuwa tunasema siku zote tangu wakate Rufaa hizo.

Files sasa zitapelekwa Mahakama Kuu ili kuendelea na mambo yanayohusiana na dhamana.

Mahakama pia imezungumzia kwa masikitiko makubwa namna ambavyo Serikali imekuwa ikitumia case hii kama mbinu ya kutesa na kusumbua watu na imeshangazwa namna ofisi ya DPP ilivyoji-conduct. Imeshangazwa namna wanasheria wanavyoweza tia najisi fani kwa mbinu za ajabu ajabu mahakamani.

Imemkaripia sana DPP; in open court, too.

Kwetu sisi ni vindication kwamba we were always right. Always.

Soon safari hii itaisha.

Motto; if U know U are right, persevere and let all temporary things pass. U will eventually be vindicated.
 
Kesi yenye dhamana imemuweka mbunge mbunge ndani for three months!!Uzuri ni kuw ainaingia katika vitabu vya sheria na miaka ijayo itatumika kama rejea katika kumtia adabu mwingine.Suala ni kuwa je wakati huo atakuwa Lema tena?Mtakaokua hai mtatueleza!!
Tutawaelezaje wakati nyie mtakuwa mmekufa???
 
Majaji watatu kesho 8:00 Asubuhi (27/2/2017) watasikiliza rufaa ya Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema.

Let us see what will happen!

=======
Lema akiingia Mahakamani leo

View attachment 474935

UPDATE:

Mahakama ya Rufani imetoa maelekezo ya kesi irudi kwenye mahakama zenye dhamana ya kutoa dhamana kwa Mh. Lema, kwani hakuna hoja ya msingi kwa rufaa iliyokatwa na mawakili gov't.
Glory be to the Almighty!
 
KUTOKA KWA WAKILI MSOMI KIBATALA

Mahakama ya Rufani ya Tanzania (Luanda, Kipenka, Mugasha, JJA) iliyokaa Arusha leo 27th February 2017 imetupa Rufaa zote mbili zilizofunguliwa na Serikali dhidi ya maamuzi ya Mahakama Kuu Kanda ya Arusha kuhusiana na dhamana ya Lema. Serikali ilikubali yenyewe kwamba Rufaa zote mbili hazina mashiko kisheria; kama tulivyokuwa tunasema siku zote tangu wakate Rufaa hizo.

Files sasa zitapelekwa Mahakama Kuu ili kuendelea na mambo yanayohusiana na dhamana.

Mahakama pia imezungumzia kwa masikitiko makubwa namna ambavyo Serikali imekuwa ikitumia case hii kama mbinu ya kutesa na kusumbua watu na imeshangazwa namna ofisi ya DPP ilivyoji-conduct. Imeshangazwa namna wanasheria wanavyoweza tia najisi fani kwa mbinu za ajabu ajabu mahakamani.

Imemkaripia sana DPP; in open court, too.

Kwetu sisi ni vindication kwamba we were always right. Always.

Soon safari hii itaisha.

Motto; if U know U are right, persevere and let all temporary things pass. U will eventually be vindicated.
kibatala namjua chuoni alikuwa anadesa tu hana usomi wowote
 
KUTOKA KWA WAKILI MSOMI KIBATALA

Mahakama ya Rufani ya Tanzania (Luanda, Kipenka, Mugasha, JJA) iliyokaa Arusha leo 27th February 2017 imetupa Rufaa zote mbili zilizofunguliwa na Serikali dhidi ya maamuzi ya Mahakama Kuu Kanda ya Arusha kuhusiana na dhamana ya Lema. Serikali ilikubali yenyewe kwamba Rufaa zote mbili hazina mashiko kisheria; kama tulivyokuwa tunasema siku zote tangu wakate Rufaa hizo.

Files sasa zitapelekwa Mahakama Kuu ili kuendelea na mambo yanayohusiana na dhamana.

Mahakama pia imezungumzia kwa masikitiko makubwa namna ambavyo Serikali imekuwa ikitumia case hii kama mbinu ya kutesa na kusumbua watu na imeshangazwa namna ofisi ya DPP ilivyoji-conduct. Imeshangazwa namna wanasheria wanavyoweza tia najisi fani kwa mbinu za ajabu ajabu mahakamani.

Imemkaripia sana DPP; in open court, too.

Kwetu sisi ni vindication kwamba we were always right. Always.

Soon safari hii itaisha.

Motto; if U know U are right, persevere and let all temporary things pass. U will eventually be vindicated.
Hili ndilotulilokuwa tunasubiri.Najisi imeingia kwenye kutafuta haki.SAD!!
 
Back
Top Bottom