Emmanuel J. Buyamba
JF-Expert Member
- May 24, 2013
- 1,167
- 651
Hawa mawakili wa Sizonje nasikia wanataka kwenda The Hague kukata rufaa tena!!
Kiukweli hii nchi imekosa dira.Hivi viongozi wetu wastaafu wanaoheshimika wako wapi kukemea huu upuuzi unaoendelea? Yaani kesi inayopaswa kukaliwa na kuamuliwa na mahakama ya mwanzo pale LUNGUYA, tena ndani ya wiki moja,inakwenda mpaka mahakama ya mwisho kiutawala? (Naamini pia iwapo kungekuwa na mwendelezo wa korti zingine hata mia huko juu hawa Jamaa wangefika,lengo ni kumfurahisha Mr Sizonje).
We have to say "NO" for this kind of stupidity.Tuna kesi za mauaji kibao zinahitaji maamuzi ya mahakama kuu na Rufaa.Zimeshindwa kuamuliwa kwa sababu ya pesa hakuna na watu wanazidi kutumikishwa kama wafungwa na mahabusu magerezani wakisubiri maamuzi ya mashauri yao.Leo majaji wa mahakama ya rufaa wanakaa kuamua suala LA dhamana ya kesi eti ya kumtukana mtu,badala ya kesi nzitonzito kama murder,ufisadi n.k?
Aliyeturoga kweli Kafa na najuta kuzaliwa Tanzania!!
Kiukweli hii nchi imekosa dira.Hivi viongozi wetu wastaafu wanaoheshimika wako wapi kukemea huu upuuzi unaoendelea? Yaani kesi inayopaswa kukaliwa na kuamuliwa na mahakama ya mwanzo pale LUNGUYA, tena ndani ya wiki moja,inakwenda mpaka mahakama ya mwisho kiutawala? (Naamini pia iwapo kungekuwa na mwendelezo wa korti zingine hata mia huko juu hawa Jamaa wangefika,lengo ni kumfurahisha Mr Sizonje).
We have to say "NO" for this kind of stupidity.Tuna kesi za mauaji kibao zinahitaji maamuzi ya mahakama kuu na Rufaa.Zimeshindwa kuamuliwa kwa sababu ya pesa hakuna na watu wanazidi kutumikishwa kama wafungwa na mahabusu magerezani wakisubiri maamuzi ya mashauri yao.Leo majaji wa mahakama ya rufaa wanakaa kuamua suala LA dhamana ya kesi eti ya kumtukana mtu,badala ya kesi nzitonzito kama murder,ufisadi n.k?
Aliyeturoga kweli Kafa na najuta kuzaliwa Tanzania!!