GreenCity
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 5,620
- 4,265
My ass? Kiss my ass, you piece of shit!Ndiyo, there's always a next time, so what your ass!
My ass? Kiss my ass, you piece of shit!Ndiyo, there's always a next time, so what your ass!
SI NASIKIA HUU ULIKUWA MKUTANO AMBAO AJENDA MOJAWAPO ILIKUWA KUMU-IMPEACH NDIYO MAANA AKAAMUA KUUMIA NA KULAZWA NAIROBIMawakili Wasomi wa Tanganyika,katika mwamvuli wa Chama cha Mawakili wa Tanganyika(TLS),wamefanya maombi maalum kwa ajili ya Rais wa TLS Tundu A.M. Lissu aliyelazwa Nairobi,Kenya.
Maombi hayo maalum yamefanyika katika ufunguzi wa Mkutano wa nusu mwaka wa TLS unaofanyika hapa Hoteli ya Mount Meru. Mawakili Wasomi,kwa ujumla wao,walisimama na kufanya maombi hayo yaliyolenga kumtakia heri na kupona haraka.
Maombi husika yaliongozwa na Mawakili Wasomi,toka ukristu na uislamu,wenye uelewa mpana wa masuala ya dini hiyo. Hakika,kulikuwa na utulivu na unyenyekevu mkubwa wakati wa maombi hayo maalum!
NB: Mkutano unaendelea. Inatarajiwa,Lissu na tukio lake zima kubeba mazungumzo ya mkutano huu.
Sawa vp wale Mabilionea wezi wa immmmmmma waliomteua Ukuu wa tls mbona hawachangii matibabu yake? Vp F. Karume, Masha &Co. walikuwepo au bado wamejificha kwa aibu?
Kapicha mkuuMawakili Wasomi wa Tanganyika,katika mwamvuli wa Chama cha Mawakili wa Tanganyika(TLS),wamefanya maombi maalum kwa ajili ya Rais wa TLS Tundu A.M. Lissu aliyelazwa Nairobi,Kenya.
Maombi hayo maalum yamefanyika katika ufunguzi wa Mkutano wa nusu mwaka wa TLS unaofanyika hapa Hoteli ya Mount Meru. Mawakili Wasomi,kwa ujumla wao,walisimama na kufanya maombi hayo yaliyolenga kumtakia heri na kupona haraka.
Maombi husika yaliongozwa na Mawakili Wasomi,toka ukristu na uislamu,wenye uelewa mpana wa masuala ya dini hiyo. Hakika,kulikuwa na utulivu na unyenyekevu mkubwa wakati wa maombi hayo maalum!
NB: Mkutano unaendelea. Inatarajiwa,Lissu na tukio lake zima kubeba mazungumzo ya mkutano huu.
Hilo swali kamuulize Mbowe aliyemfyatua Tundu Lisu, isitoshe inategemea kama atarudi kakifunza au la, hilo chaguo ni lake subiri atoke kwanza!
Mkutano huo uliisha salama bila kuvamiwa na polisi? Maana siku hizi imeshaandikwa kwenye msahafu na biblia Pogba ndiyo pekee wa kuombewaMawakili Wasomi wa Tanganyika,katika mwamvuli wa Chama cha Mawakili wa Tanganyika(TLS),wamefanya maombi maalum kwa ajili ya Rais wa TLS Tundu A.M. Lissu aliyelazwa Nairobi,Kenya.
Maombi hayo maalum yamefanyika katika ufunguzi wa Mkutano wa nusu mwaka wa TLS unaofanyika hapa Hoteli ya Mount Meru. Mawakili Wasomi,kwa ujumla wao,walisimama na kufanya maombi hayo yaliyolenga kumtakia heri na kupona haraka.
Maombi husika yaliongozwa na Mawakili Wasomi,toka ukristu na uislamu,wenye uelewa mpana wa masuala ya dini hiyo. Hakika,kulikuwa na utulivu na unyenyekevu mkubwa wakati wa maombi hayo maalum!
NB: Mkutano unaendelea. Inatarajiwa,Lissu na tukio lake zima kubeba mazungumzo ya mkutano huu.
Umeisha salama.Mkutano huo uliisha salama bila kuvamiwa na polisi? Maana siku hizi imeshaandikwa kwenye msahafu na biblia Pogba ndiyo pekee wa kuombewa
Maazimio yenu ni yapi?Umeisha salama.
Yatatolewa na wahusika mkuu. Vuta subira.Maazimio yenu ni yapi?
Shukrani!Yatatolewa na wahusika mkuu. Vuta subira.