Kweli wewe "Mgonjwa mtambuka"Nyie mawakili "wasomi" badala ya kujadili mambo ya maana mmnakaa kuendeleza imani za kishirikina. Eti maombi; kweli?
Sawa.Kweli wewe "Mgonjwa mtambuka"
GeniusMselewa, kisheria mtu mwenye akili kama za Job huwa mnamwitaje?
Mawakili Wasomi wa Tanganyika,katika mwamvuli wa Chama cha Mawakili wa Tanganyika(TLS),wamefanya maombi maalum kwa ajili ya Rais wa TLS Tundu A.M. Lissu aliyelazwa Nairobi,Kenya.
Maombi hayo maalum yamefanyika katika ufunguzi wa Mkutano wa nusu mwaka wa TLS unaofanyika hapa Hoteli ya Mount Meru. Mawakili Wasomi,kwa ujumla wao,walisimama na kufanya maombi hayo yaliyolenga kumtakia heri na kupona haraka.
Maombi husika yaliongozwa na Mawakili Wasomi,toka ukristu na uislamu,wenye uelewa mpana wa masuala ya dini hiyo. Hakika,kulikuwa na utulivu na unyenyekevu mkubwa wakati wa maombi hayo maalum!
NB: Mkutano unaendelea. Inatarajiwa,Lissu na tukio lake zima kubeba mazungumzo ya mkutano huu.
Mkuu,kunabaadhi ya raia humu kazi yao ni kutafutia wenzao makosa ya uchochezi tuu.Anzisha mada yako. Wakili Fatma Karume yuko imara kama kawaida yake. Hautafika level yake. Bure kabisa!
Duu! Hi mupyaaa! kuna ukweli ndani yakeNi kweli kwamba Mungu ametuasa kusamehe , lakini hakutuambia tumsamehe shetani .
Naunga mkono hoja yako. Wametia aibu. Hata tAmko Kali hakuna?sijawahi kuona mawakili dhaifu kama watz. hivi kweli tumeshindwa hata kuandamana kidogo tu kupinga hii kitu, achilia mbali aliyepigwa ni mwanasheria mwenzetu lakini sasa huyo sio mwanasheria mwenzetu tu, ni Rais wa TLS! hadi mange amefanya makuu kuliko mawakili, aibu sana.
Mawakili wasomi zaidi ya mara 10. Kweli watu na taaluma zenuMawakili Wasomi wa Tanganyika,katika mwamvuli wa Chama cha Mawakili wa Tanganyika(TLS),wamefanya maombi maalum kwa ajili ya Rais wa TLS Tundu A.M. Lissu aliyelazwa Nairobi,Kenya.
Maombi hayo maalum yamefanyika katika ufunguzi wa Mkutano wa nusu mwaka wa TLS unaofanyika hapa Hoteli ya Mount Meru. Mawakili Wasomi,kwa ujumla wao,walisimama na kufanya maombi hayo yaliyolenga kumtakia heri na kupona haraka.
Maombi husika yaliongozwa na Mawakili Wasomi,toka ukristu na uislamu,wenye uelewa mpana wa masuala ya dini hiyo. Hakika,kulikuwa na utulivu na unyenyekevu mkubwa wakati wa maombi hayo maalum!
NB: Mkutano unaendelea. Inatarajiwa,Lissu na tukio lake zima kubeba mazungumzo ya mkutano huu.
Habari ndio hiyo mkuu .Duu! Hi mupyaaa! kuna ukweli ndani yake
Kwahiyo unatakaje?Hilo neno "Mawakili Wasomi" huwa linanikera sana kuliko maneno yote duniani.