Arusha Jiji zima Hakuna Kituo Cha TV ?

Arusha Jiji zima Hakuna Kituo Cha TV ?

Vijana wa Arusha wanawaza kwenda Mererani tu. Unakuta kijana wa mererani hana hata mia, anawaza kupata milioni 200.

Mweee!! Nilienda Mererani,nikashangaa napigiwa story za yule alikuwa na 1b,huyu aliyepita hapa alikuwa na 400m,mara yule alikuwa na 300m,lakini ukiwaangalia hao unaooneshwa, Sendo zimeisha hawana hata mia! Sijui ela za madini zikoje…
Nikaamua kurudi zangu.
M=milion
B=Bilion
 
Mtoa mada mi mraks!! Wa shiva shiva nini?? Hmtv, muziki Lomoni, Milan ni mambupu yako!! Acha gere mzee!!
 
Arusha haijiendeshi kwa kuwa HQ ya EA,kabla hata hii EA mpya haijaanza Arusha ilikuwapo,huwezi kufananisha na Dodoma ambako bila makao makuu na bunge pangedorora.Nikirudi kwenye mada yako TV sio kipimo cha maendeleo ya mji,Sumbawanga wana registered TV lakini maendeleo yao si sawa na unavyoweza dhania,Kama jiji even Tanga,labda kama ulienda kutafuta kazi inayohusiana na TV hapo sawa,lakini kuna activities kibao za kutafuta maisha mbali na kituo cha TV.Kwa taarifa tu,kama ni TV mdau mmoja kakujibu vizuri kuna HMTV ambayo ni ya dini na redio yao ni kongwe kuliko zote (except TBC/RTD).
Nadhani uanze kujielewesha kuwa kuna factors mbalimbali zinazopima kiwango cha maisha na maendeleo kati ya miji na miji,Arusha ni mji unaongoza kwa kupitiwa na wageni wa mataifa mbalimbali kiutalii na ni mji wa pili kwa kutembelewa kibiashara nyuma ya Dar (Ingawa hakuna TV).Ni mji wa pili kwa kuzalisha fedha nyingi za Kigeni per day nyuma ya Dar.But in other way,its opportunity kwako pia kuanzisha kituo chako cha TV coz kama hakuna chukua fursa.
 
Jiji gani kama Tu Musoma Municipal.If the govt could not have chosen it as an EAC HQ,sijui ingekuwaje tu ????

kwani nchi nzima ina vituo vingapi vya TV?? hizo tv zilizopo nchini matangazo yake hayafiki arusha??? au ulitaka kila kituo cha tv kiwe na kituo kila mkoa??
 
Vijana wa Arusha wanawaza kwenda Mererani tu. Unakuta kijana wa mererani hana hata mia, anawaza kupata milioni 200.

mkuu hawa jamaa wanakaa tu kumuwaza lema kazi hawafanyi halafu wanajiita makamanda. imagine mtu anakupigia simu siku tatu mfululizo anakuomba umsaidie hela mbuzi akitoka hapo.anaenda kwa makamanda wenzake kupiga umbea
 
Mabilionea wa matejoo,na charlie wa kutosha aisee.Nchi zote za EAC Zinasaidia kuijenga lakini INADUMAA TU.
 
Mkuu MTAZAMO kwani ile TV iliyokuwa katikati ya mji wa Arusha mling'oa!? ile ya chui anamkimbiza swala inaonyesha... Nakumbuka kipindi kile nimetoka zangu Dar es salaam jiji la RRONDO japokuwa ni letu sote, mida ya jioni nikaelekea zangu Babylon Metropole nikawakuta vijana wamechoka nikawagonga bia, yamkini kwenye wale vijana alikuwemo na Otorong'ong'o enzi hizo anaitwa Tedo, basi walinifagilia kinyama...

Nikataka niende zangu Moshi kwenye club La liga, nikaona uzushi nikarudi zangu Kijenge nikaenda kuuangusha kesho yake nikaenda kwa mshikaji wangu Sakina nilipofika kabla ya kwenda Babylon...
 
Last edited by a moderator:
inakuja TV 5 . Kama hoja ya maendeleo ni kuwa na Tv basi Dar ingeendelea sana. Ukipita vingunguti, sijui, Buguruni, manzese unajiadi nawe ulo jijini Dar
 
Mweee!! Nilienda Mererani,nikashangaa napigiwa story za yule alikuwa na 1b,huyu aliyepita hapa alikuwa na 400m,mara yule alikuwa na 300m,lakini ukiwaangalia hao unaooneshwa, Sendo zimeisha hawana hata mia! Sijui ela za madini zikoje…
Nikaamua kurudi zangu.
M=milion
B=Bilion

ulikuwa mwoga
 
inakuja TV 5 . Kama hoja ya maendeleo ni kuwa na Tv basi Dar ingeendelea sana. Ukipita vingunguti, sijui, Buguruni, manzese unajiadi nawe ulo jijini Dar

Hivi Vingunguti unapajua vizuri?
 
Back
Top Bottom