wanazidiwa hata na mji kasoro bahari morogoro
Dar es salaam kazi kubwa ni kuuza unga bana!Arusha kazi kubwa ni kuuza bangi bana!
Arusha inafanana na Singida kwa mbaliiiii inaikaribia Tanga haigusi kwa Mwanza wala Mbeya
Ile mbeya ambayo majuzi walizindua lift yao kwanza mpk mkuu wa mkoa akaalikwa kua mgeni rasmi au kuna nyngne?
Sioni juhudi za watawala kuifanya Arusha kuwa jiji la maana
sioni mipango ya kujenga/kutenga maeneo maalum yenye huduma zote za kiuchumi kwa ajili ya wafanyabiashara ndogondogo
Sioni juhudi za kujenga stendi kubwa ya kisasa ya mabasi,yaani stand ya Arusha imezidiwa na ya Singida.
Mipango ya double road zisioni wala uondoshwaji wa migomba katikati ya mji.
Watawala wa Arusha lazima mfikirie kuipeleka jiji letu mbele liwe jiji shindani.
Mimi mzaliwa wa Mza, naishi Dar, wakati Mza inapandishwa hadhi kuwa jiji, barabara za lami zilikuwa zinahesabika, kulikuwa na vumbi la hatari, hakukuwa na maghorofa ya vioo, ilichukua karibu miaka 10 kwa Mza kuwa ktk hali ya sasa ambayo nikitembelea miji mingine hapa Tz nashangaa kuwa inapewa sifa kuuuubwa ambazo hata sizioni. Ipeni muda tu wataamka usingizini.
Jiji gani kama Tu Musoma Municipal.If the govt could not have chosen it as an EAC HQ,sijui ingekuwaje tu ????
jumlisha ugoro na viroba vya ofa.
Jiji gani kama Tu Musoma Municipal.If the govt could not have chosen it as an EAC HQ,sijui ingekuwaje tu ????
Wewe ni Kilaza. Ushawahi kutumia Milan Cable?