and 998 others
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 27,921
- 39,110
Kuna mstafu alikuwa hakauki kwa MswatiHii ndiyo Tanzania hatuna tofauti na Swaziland Iswati kwenye sherehe za Mfalme kuowa mabikira
Nimechekaa nani huyo?lakini tuongee ukweli hata ningekuwa mimi nina hera yangu ya kutalii ningekuwa naendaga kwa Mswati kipindi cha ngoma zile nikajichagurie mabikira maana kuna uhaba wa wanaumeKuna mstafu alikuwa hakauki kwa Mswati