Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,773
- 5,932
Wanajeshi wanafanya doria kila mahala
Meserani kuna beria wananchi wanakaguliwa vitambulisho na wanajeshi waliobeba Ak 47
Wanajeshi ndio wanaongoza magari kama askari wa barabarani wapo likizo.
Goma au Kisangani na Bukavu
Meserani kuna beria wananchi wanakaguliwa vitambulisho na wanajeshi waliobeba Ak 47
Wanajeshi ndio wanaongoza magari kama askari wa barabarani wapo likizo.
Goma au Kisangani na Bukavu