Arusha imegeuka Goma ya Tanzania.

Arusha imegeuka Goma ya Tanzania.

Hivi wanadhani hata kama kuna wavamizi ndo walikua wanasubiri habari zisambae kwenye mitandao ndo waanze kuingia nchini? 🤣🤣🤣🤣 kweli ccm mmetuweza kutujazia … kila sehemu
 
Kwamba serikali fake ya majangiri wanahisi kuna wakenya watajaa hapo kufanya maandamano ya 9D vilaza wa maccm bhana, vitambulisho vp sasa kama ni nida 80% ya watz hawana sbb ya uzembe wa serikali kama cha mpga kura angalau wengi wanavyo sababu wanavihitaji kupatia mikopo na si vngnevyo.
 
Wanajeshi wanafanya doria kila mahala

Mserani kuna beria wananchi wanakaguliwa vitambulisho na wanajeshi waliobeba Ak 47

Wanajenshi ndio wanaongoza magari kama askari wa barabarani wapo likizo.

Goma au Kisangani na Bukavu
mpaka njia za magendo zisizopitika wapo..kazi kweli kweli wazee wa magendo imekula kwao
 
Back
Top Bottom