Duble Chris
JF-Expert Member
- May 28, 2011
- 3,481
- 564
Uchaguzi wa madiwani wa kata tano za Jiji la Arusha utarudiwa tena Hawa ni madiwani walio enguliwa na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo - CHADEMA,
Hili limenemwa na George Mkuchika Waziri ;- TAMISEMI
source: Mtanzania
My take:- Mkuchika ndiye aliye wapa ofa hawa madiwani kuhudhulia vikao vyote na kulipwa sitahiki zote kama madiwani wengine wasio na migiogoro na vyama vyao akijua kabisa kuwa analo litolea maagizo lipo kinyume kabisa na sheria za nchi hii leo kunani tena anayalamba matapishi yake.
Ama kweli TZ tuna mawaziri wengi mno
Nawatakia Uchaguzi mema wa hali ya Amani na utulivu
Hili limenemwa na George Mkuchika Waziri ;- TAMISEMI
source: Mtanzania
My take:- Mkuchika ndiye aliye wapa ofa hawa madiwani kuhudhulia vikao vyote na kulipwa sitahiki zote kama madiwani wengine wasio na migiogoro na vyama vyao akijua kabisa kuwa analo litolea maagizo lipo kinyume kabisa na sheria za nchi hii leo kunani tena anayalamba matapishi yake.
Ama kweli TZ tuna mawaziri wengi mno
Nawatakia Uchaguzi mema wa hali ya Amani na utulivu