Arusha hakuna ukarimu kwa wateja

Hiyo nayo ni fursa kwa upande mwingine
 
huu ni unafiki mtupu
 
Reactions: Auz
Paki Landcruiser unapohitaji huduma utapata huo ukarimu
 
Wako karibu na kenya. Lugha ya naomba imegeuka kuwa leta

Wewe umemaliza kila kitu. Kuna rafiki yangu sana ni m-Kenya naishi naye hapa Arusha, huwa anashangaa sana kwenda dukani unasema 'naomba'! Yeye anasema 'Utaombaje kitu dukani wakati unalipa pesa'? Na huwa wanaendana na hawa watu wa hapa ile mbaya.

Kinyume chake kuna mnya-Rwanda tulikuwa tunaongea naye aka challenge customer care ya watu wa Arusha na akasema kama ingekuwa kwao Rwanda biashara zingekufa fasta.
 
Watu wenye tabia hizo wakifika Dar wanajifanya wanajua ustaraabu huu ama ule, kukosoa wenyeji wao wastaaraab waliotukuka. Karibuni nyote Dar mjifunze heshima ya kuwasiliana na wateja
 
Arusha njaa tupu na watu wake njaa kama kenya...
 
Ukiishi sana mwituni na wanyama lazima utaiga tabia zao. poleni wafugaji mtapata shida sana mpaka mje mkae kwenye mstari wa kistaarabu
 
ni kweli aisee mimi ni mzaliwa wa arusha lakini sasa niko huko nyanda za juu kusini watu wana heshima acha unakuta kijana tena wa kiume unapomlipa hela anapokea mikono miwili, na kike anainama kidogo... nashangaa sana na ninaona aibu sijazoea kabisa
Dah.... Ni kweli kabisa huko Arusha hakuna utamaduni wa kuinama/kubend kidogo....!!! Sio tu wakati wa kupokea pesa.... Hata wakati wa salamu etc...

Haya tunayaonaga kwa wenzetu wasukuma, wanyakyusa.... Mpaka una-admire....!!!
 
Wanaume wa Dar mnapendwa kubembelezwa sana.
Makonda anawasubiria mkatoe matumizi ya Hawara zenu.
 
Yes nakubaliana na michango ya watu humu. Arusha imekua influenced kwa kila kitu na Nairobi. Kuanzia kuzungumza na tabia nyinginezo ni athari za muingiliano na wakenya. Na by the way, hata Mara pia ni kama Arusha hawana kabisa customer care.
 

Kama hujafika Arusha huwezi kuinenea mema au mabaya yake .. wewe ongelea jambo unalolijua kiundani..
 
Dah.... Ni kweli kabisa huko Arusha hakuna utamaduni wa kuinama/kubend kidogo....!!! Sio tu wakati wa kupokea pesa.... Hata wakati wa salamu etc...

Haya tunayaonaga kwa wenzetu wasukuma, wanyakyusa.... Mpaka una-admire....!!!

Tabia ya kuinama si nzuri kwa watu wanaojitambua na kuheshimu tamaduni zao....
 
Ni kweliiii hawana costumer care kabsa arusha huku


Ni miji mingi Mkuu ina hilo tatizo, ukitoka Kenya ukaingia Arusha unaona mambo yapo kinyume kabisa, ukaribu upo Songea na Tanga tu kwa nchii hii
 
wananyenyekewa wanaokata mkwanja wa nguvu, wewe kachala unayeenda kula kwa mama ntilie wali sahani moja buku nani akunyenyekee?. Nenda Novotel, Arusha hotel,au Ngurdoto uone kama hawatakunyenyekea.
 
Jamaa amesema haoneagi mtu, na jamaa ni CDM kabisa huyu ila kaamua kuwaambia wenzake ukweli tu. Hivyo kuna ka ukweli flani ktk malalamiko yake[emoji3] [emoji3]
Hiv kwa nn tumeadhiriwa na akili finyu kias ichi? Mm sijaona sehem hyo mtu kazungumzia yy ni mwana chama wa chama gan!!! ila kazungumza swala zuri ambalo wausika wakilifanyia kaz has a walegwa inaweza boresha huduma paspo kujali hao watoa huduma ni wanachama wa chama gan!!! Sasa cjui ndo huwa tuna siasa za ajabu mpaka mambo ya msingi tunaweka ujinga
 
ni kweli aisee mimi ni mzaliwa wa arusha lakini sasa niko huko nyanda za juu kusini watu wana heshima acha unakuta kijana tena wa kiume unapomlipa hela anapokea mikono miwili, na kike anainama kidogo... nashangaa sana na ninaona aibu sijazoea kabisa
Huu ni ushamba tu hamna heshima wa cha nini ukuku wa hivi siafikiani nao kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…