Arusha = CHADEMA

Arusha = CHADEMA

Dr Lizzy

Platinum Member
Joined
May 25, 2009
Posts
31,010
Reaction score
60,472
Leo mji wa Arusha umepambwa kwa scarf,kofia na bendera zenye rangi ya CHADEMA. Maongezi yanayotamba mjini yanahusu CHADEMA.

Alafu kuna t-shirt zilizioandikwa "Mh Lema jipe moyo, tuko pamoja nawe" kwa mbele na "Movement 4 Change kwa nyuma" nazo zimevaliwa kwa sana.

Kweli hii ndio mji wa mabadiliko ya kisiasa hapa Danganyika...mpaka raha kuona watu walivyo/wanavyoendelea kuhamasika!!

CHADEMA iko juu!!
 
Arusha ni "turning point" ya ukombozi huru wa mtanzania.
 
kwanza naipongeza chadema kwa jitihada za kupata wanachama huko vijijini. Hii ni tofauti kabisa na vyama vingine vya upinzani. Ila hii m4c ni arusha tu?

Vipi kuhusu mtwara, lindi, mtimbira huko morogoro, singida huko dodoma, namtumbo mtera na sehemu kama hizo?

Hii italeta upinzani wa kweli itakiunda chama na itapambana kisawasawa na ccm.
 
Mwali hujambo..umeshaamka?
Ndio, nimesha amka, nasoma hapa. I have so much pending readings.
Umeona tupo jukwaa gani lakini?? hapa sio chit chat... usichakachue please.
We uko Arusha leo? Nitumie picha basi nione kukoje leo hii.
 
Ndio, nimesha amka, nasoma hapa. I have so much pending readings.
Umeona tupo jukwaa gani lakini?? hapa sio chit chat... usichakachue please.
We uko Arusha leo? Nitumie picha basi nione kukoje leo hii.

ok sitachakachua, da Lizzy atatuma picha kama akiweza .
 
Last edited by a moderator:
Safi sana makamanda na ndiyo maana mwalimu alipeleka azimio la Arusha kule.all the best Lizzy tunaomba utujuze yatakayo tokea na picha uturushie plz.M4C
 
kwanza naipongeza chadema kwa jitihada za kupata wanachama huko vijijini. Hii ni tofauti kabisa na vyama vingine vya upinzani. Ila hii m4c ni arusha tu?

Vipi kuhusu mtwara, lindi, mtimbira huko morogoro, singida huko dodoma, namtumbo mtera na sehemu kama hizo?

Hii italeta upinzani wa kweli itakiunda chama na itapambana kisawasawa na ccm.
hata wakati wa kumtoa gadafi awakuvamia nchi yote mapambano yanaanza taratibu then mnajikuta mnaingia hadi town na kwenye mitaro watakayo kuwa wamejificha
 
kwa kweli mji umependeza.....kila mtu ana kiashiria cha chama....barabarani watu ni kushow love....hunijui sikujui....una nembo ya chama...we show luv....honi nyingi alama yetu ya vidole kwa sana.....jamani chama nakipenda hiki....
 
kwa kweli mji umependeza.....kila mtu ana kiashiria cha chama....barabarani watu ni kushow love....hunijui sikujui....una nembo ya chama...we show luv....honi nyingi alama yetu ya vidole kwa sana.....jamani chama nakipenda hiki....

Picha, Picha, Picha + updates!😛eace:😛eace:
 
Leo mji wa Arusha umepambwa kwa scarf,kofia na bendera zenye rangi ya CHADEMA. Maongezi yanayotamba mjini yanahusu CHADEMA.

Alafu kuna t-shirt zilizioandikwa "Mh Lema jipe moyo, tuko pamoja nawe" kwa mbele na "Movement 4 Change kwa nyuma" nazo zimevaliwa kwa sana.

Kweli hii ndio mji wa mabadiliko ya kisiasa hapa Danganyika...mpaka raha kuona watu walivyo/wanavyoendelea kuhamasika!!

CHADEMA iko juu!!

I love Arusha!!! May God be With It .... Nakumbuka Nyumba Lilipo zaliwa Azimio La Arusha na sina shaka Azimio Jipya Litapatikana from Arusha !!! ...as it goes ... sisi tuna Mungu ...wao wana suji nini ...!!
 
Hiyo Mikutano ya Chadema kila siku Arusha tumeshaichoka, sasa tunataka kuona Chadema wanapiga kambi Mikoa ya Kusini na ya Kati. Tired with Arusha for now
 
Halafu hii chanel ya kuwadi wa Magamba wameshindwa hata kutoa Coverage ya mkutano huo wa leo A Town, wanakera sana hawa ITV.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom