ARUSHA: Basi Abood lapata ajali

ARUSHA: Basi Abood lapata ajali

Jamani abiria wanaopenda kukaa mbele kwenye gari na kuanza kusinzia wanatakiwa kuwa makini sana ikiwa pamoja na kufunga mikanda.
Kuna mwarabu mmoja alikaa nyuma ya dereva kajiachia pale...yaani sijamuona tumeruka nje lakini yeye hajaonekana hadi sasa na alikuwa bonge sijui karukaje maana mlango haukuwepo

Kuna wadada wawili walikuwa wanaenda moshi walikaa Kwenye boneti kwa dereva, walirukia upande wangu maana mm nilikuwa nmekaa siti moja nyuma kutoka kwa kinda.

Kuna mdada nilikaa naye alimuomba kinda kwamba akae pale mbele kinda hakumruhusu, yaani angekaa nahisi angekufa maana alikuwa legelege sana

Wa Kwenye boneti walisalimika ila michubuko ya kuruka maana ajali ilionekana mapema
 
Abiria zaidi ya 50 waliokuwa wakitokea jijini Arusha kuelekea Morogoro wamenusurika kufa na baadhi yao kujeruhiwa akiwemo Dereva, baada ya basi la Abood waliokuwa wakisafiria kuligonga gari jingine kwa nyuma katika eneo la Sang'isi , Tengeru mapema asubuhi leo, Polisi wapo eneo la tukio.

Angalia Picha za basi hilo
f234746cbd2badd8155b40a80d7dfeaf.jpg
0f067cea7f7e7d1079466c5dd977f009.jpg
b812cf15a259c94622d4460e08248396.jpg
HAKUNA MANUSURA WA KIFO MKUU!!ITS EITHER U'R DEAD OR ALIVE!!Asante kwa taarifa!
 
Kuna mwarabu mmoja alikaa nyuma ya dereva kajiachia pale...yaani sijamuona tumeruka nje lakini yeye hajaonekana hadi sasa na alikuwa bonge sijui karukaje maana mlango haukuwepo

Kuna wadada wawili walikuwa wanaenda moshi walikaa Kwenye boneti kwa dereva, walirukia upande wangu maana mm nilikuwa nmekaa siti moja nyuma kutoka kwa kinda.

Kuna mdada nilikaa naye alimuomba kinda kwamba akae pale mbele kinda hakumruhusu, yaani angekaa nahisi angekufa maana alikuwa legelege sana

Wa Kwenye boneti walisalimika ila michubuko ya kuruka maana ajali ilionekana mapema
Poleni sana mkuu
 
Back
Top Bottom