Waafrica sisi niwajinga sana, Uchawi ni Technology iliyo mbele ya wakati tukiitumia vizuri itatunufaisha.
Mfano hii technology ya mawe kurushwa na watu wasiojulikana, juju, kutupiwa majini tunaweza kuwauzia Ukraine wapambane na urusi.
Wakati Urusi wanaangaika kuingilia mawasiliano ya Ukraine, wao Ukraine wanatumia tu Ramli wanaona mipango yote ya Urusi alafu wanatuma juju wanajeshi wote wanakuwa vichaa , Au wanatumiwa mawe yasiyoonekana😂😂😂😂