Puppy
JF-Expert Member
- Oct 6, 2011
- 2,995
- 2,494
Habari Wanajamii
Nimetokea Kikatiti Leo Asubuhi Mida Ya Saa Tatu Hivi Kuelekea Tengeru, Katika Kila Kituo Cha Daladala Na Penye Maduka Au Soko Kumepandishwa Bendera Za CCM Tena Mpya Kabisa, Kufika Usa River Nawakuta Watu Wanazidi Kuzipandisha.
Swali. Je Ndio Kampeni Zimeanza? Na Kama Sio, Je Ni Kwanini Zipandishwe Leo? Mwenye Kujua Anijuze.
Rest In Peace J. Sumari Mbunge
Nimetokea Kikatiti Leo Asubuhi Mida Ya Saa Tatu Hivi Kuelekea Tengeru, Katika Kila Kituo Cha Daladala Na Penye Maduka Au Soko Kumepandishwa Bendera Za CCM Tena Mpya Kabisa, Kufika Usa River Nawakuta Watu Wanazidi Kuzipandisha.
Swali. Je Ndio Kampeni Zimeanza? Na Kama Sio, Je Ni Kwanini Zipandishwe Leo? Mwenye Kujua Anijuze.
Rest In Peace J. Sumari Mbunge