Wana jamvi wa Jf hali si hali arumeru lowasa,jauary makamba,pro maji marefu,mkapa hawa kwa uchache ndani ya kufunga kampein
dukuduku langu hivi jimbo hili lina umarufu gani kiasi cha kuweza kuwavuta vigogo wote hao wa sisiem?
eee! Mungu muweza wa yote saidia chadema ishinde arumeru kudhihirisha anguko kuu la ccm.!!