mgeni wenu
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 3,664
- 1,731
Wana JF tayari mgombea wa CHADEMA jimbo la ARUMERU ametangazwa,hebu tuambiane na kukishauri CHAMA HIKI ni kamanda yupi aongoze wapi katika mapambano ya kulichukuwa Jimbo la Arumeru na Apangiwe maeneo yapi..Michango yenu ni muhimu kipindi hiki ili baadae tuone nguvu ya JF katika ushauri wa SiasA