Arumeru: Kama unawajua hawa tuambie

Arumeru: Kama unawajua hawa tuambie

mgeni wenu

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2012
Posts
3,664
Reaction score
1,731
Wana JF tayari mgombea wa CHADEMA jimbo la ARUMERU ametangazwa,hebu tuambiane na kukishauri CHAMA HIKI ni kamanda yupi aongoze wapi katika mapambano ya kulichukuwa Jimbo la Arumeru na Apangiwe maeneo yapi..Michango yenu ni muhimu kipindi hiki ili baadae tuone nguvu ya JF katika ushauri wa SiasA
 
Aiseee...unataka ushauri wa mpango kazi?
Ungeanza na mapendekezo yako kwanza.
 
Kengemaji bwana,tehe tehe tehe.swali umeulizwa afu unauliza tena.ID yako bwana
 
Full squade inatakiwa kuhakikisha ushindi unakuja. JJ, Zitto Kabwe nk wanahitajika sana.
 
Mnyika akiongozana na mgombea wapita maeneo yote ya Wameru wenye msimamo mkali (Kuanzia mto nduruma upande wa kushoto ukitokea mjini hadi KIA) waende hadi milimani vijijini pia wanaweza mshirikisha Halima. Lema na Henche wapige upande wote wa kulia wa barabara kuu kuelekea Moshi. Mbowe na Slaa watapigilia misumari yao pale USA River mjini.
 
Mnyika akiongozana na mgombea wapita maeneo yote ya Wameru wenye msimamo mkali (Kuanzia mto nduruma upande wa kushoto ukitokea mjini hadi KIA) waende hadi milimani vijijini pia wanaweza mshirikisha Halima. Lema na Henche wapige upande wote wa kulia wa barabara kuu kuelekea Moshi. Mbowe na Slaa watapigilia misumari yao pale USA River mjini.
tayari sio kapitishwa kazi inaanza rasmi sasa
 
Maeneo yote yenye wajanja stendi, sokoni, aende Lema halafu washili na maamuma Dr anawahusu
 
tayari sio kapitishwa kazi inaanza rasmi sasa

Tunawatakia kila kheri, Fuateni ushauri nilioutoa hapo juu, nia ni kuwagawanya Wameru into two parts kwa sababu hawawezi kumkataa mtoto wao wenyewe, then huu upande wa chini una makabila mchanganyiko, the easy way to CDM
 
Huko kwa washili Milimani aende Dr. Lema na Mbowe waende maeneo ya usa na kwa waendesha bodaboda. . . Masokoni na magengeni aende Mdee na Owenya!
 
Wana JF tayari mgombea wa CHADEMA jimbo la ARUMERU ametangazwa,hebu tuambiane na kukishauri CHAMA HIKI ni kamanda yupi aongoze wapi katika mapambano ya kulichukuwa Jimbo la Arumeru na Apangiwe maeneo yapi..Michango yenu ni muhimu kipindi hiki ili baadae tuone nguvu ya JF katika ushauri wa SiasA

Wewe ni nani CDM usiyejua kinachoendelea?
 
Wana JF tayari mgombea wa CHADEMA jimbo la ARUMERU ametangazwa,hebu tuambiane na kukishauri CHAMA HIKI ni kamanda yupi aongoze wapi katika mapambano ya kulichukuwa Jimbo la Arumeru na Apangiwe maeneo yapi..Michango yenu ni muhimu kipindi hiki ili baadae tuone nguvu ya JF katika ushauri wa SiasA

ingefaa sana mpambano ungekuwa kati ya Godbless Lema na Edo. Nakumbuka Edo played most part kwenye kampeni Arusha mjini, akatimuliwa vumbi na Lema, Demu chaliiiii!!!
 
Back
Top Bottom