'Artificial womb' na mustakabadhi wa mwanamke

'Artificial womb' na mustakabadhi wa mwanamke

Artifact Collector

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2019
Posts
6,622
Reaction score
10,262
Tokea miaka ya 1920's kumekuwa na hii concept au idea ya artificial womb mpaka Leo almost miaka 100 idea bado haijawa materialize.

Binafsi yangu naona haitowezekana kwa sababu Ile Siri ya pumzi ya uhai ni fumbo gumu sana ili artificial womb iwe implemented lazim iweze kufumbua kitendawili cha pumzi ya uhai kitu ambacho sis tunaoamuamin Mungu hatoweza kushare hii Siri/formula na mwanadamu.

Artificial womb inaweza tumika kwa pre mature babies na sio vinginevyo hii ndo sehemu nayoiona ina uhalisia.

Kama ikitoke artificial womb ikafanikiwa niweke wazi itakua ni habari mbaya sana kwa wanawake thamani ya mwanamke itapungua sana, sababu watoto watakua wanafyatuliwa huko maabara, Ila narudia tena ni ngumu kutokea sababu ya hiko kitendawili cha pumzi ya uhai.
 
Huu ndo mfano wake
 

Attachments

  • images (12).jpeg
    images (12).jpeg
    45.8 KB · Views: 6
subiri povu toka kwa team pinzani
artificial womb ni njema, em fikiria sasa hivi unat<>mba lakini unawaza gono, kaswende, ngoma, UTI, homa ya ini, warts, harufu ya K, nk
 
Back
Top Bottom