Artificial Intelligence ni nini?

Artificial Intelligence ni nini?

Mr.genius

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2012
Posts
1,372
Reaction score
1,206
Heshima kwenu wakuu wataalam wa hizi kazi, kwa siku za hivi karibuni nmeanza kuliona ona hili neno "Artificial Intelligence" kwenye post, articles na sites mbali mbali za kiteknolojia nyingi zikiwa za kiingereza kwa wanao elewa haya mambo tafadhali wa nijuze kwa lugha ya hapa nyumbani hii kitu ni nini na ina kazi / faida gani?
 
Na mimi nakuuliza wewe ni artificial genious au umezaliwa naturally?

Mbona kila kitu kipo mtandaoni? mpaka average people nao wanakuwa na uwezo wa kujua mambo kwa ku-google tu?

Any way, it is.....

the theory and development of computer systems able to perform tasks that normally require human intelligence, such as visual perception, speech recognition, decision-making, and translation between languages
 
Simply intellectual exhibited by machine.... Mfano computer inavodadavua mambo,.. So kinyumbani nikazi kuelewa but ni uwezo wa akili ulioko kwenye vitu vyakutengenezwa
 
Google wanatuharibu sana but wanasaidia ! U can try that sometime

NB: kama ulikuwa mwanachuo basi zile series kama CSI, 24, Almost humans, etc maneno hayo ungeyajua sana
 
In short it's evolution started with :

1. Vacuum tubes
2. Transistor
3. IC's
4. Microprocessor, then
5. Artificial intelligence
 
Heshima kwenu wakuu wataalam wa hizi kazi, kwa siku za hivi karibuni nmeanza kuliona ona hili neno "Artificial Intelligence" kwenye post, articles na sites mbali mbali za kiteknolojia nyingi zikiwa za kiingereza kwa wanao elewa haya mambo tafadhali wa nijuze kwa lugha ya hapa nyumbani hii kitu ni nini na ina kazi / faida gani?
Mkuu Artificial intelligence ni tawa la(branch of) computer science, linahusika na kutengeneza au kufanya mashine au software kufanya mahamuzi(decision)....

Mfano1: ku-programu robots kufanya kazi kama kupika, kuchambua dagaa, kipokea &kuelekeza wageni haza mahotelini kwa nchi zilizo endelea

Mfano2: computer games, unaweza cheza gemu kama draft, mpila & mission game wewe & computer kwa ushindani wa hali ya juu....... hapo computer inaweza fanya mahamuzi yeyote kutokana na mpinzani wake...

Mfano3: zipo machine zinauwezo wa kutambua wewe n njinsia gani kwa kusikia sauti yako, umri wako nk..... hivyo n vichache sana kuhusu artificail intelligence

Mfano4; inatumika kwenye mageri au vyombo vya usafiri kujuendesha pasipo ya dereva.... huwezi kuta gari limepata ajari wala kugongana


Ntarudi baadae kidogo......
 
Mkuu Artificial intelligence ni tawa la(branch of) computer science, linahusika na kutengeneza au kufanya mashine au software kufanya mahamuzi(decision)....

Mfano1: ku-programu robots kufanya kazi kama kupika, kuchambua dagaa, kipokea &kuelekeza wageni haza mahotelini kwa nchi zilizo endelea

Mfano2: computer games, unaweza cheza gemu kama draft, mpila & mission game wewe & computer kwa ushindani wa hali ya juu....... hapo computer inaweza fanya mahamuzi yeyote kutokana na mpinzani wake...

Mfano3: zipo machine zinauwezo wa kutambua wewe n njinsia gani kwa kusikia sauti yako, umri wako nk..... hivyo n vichache sana kuhusu artificail intelligence

Mfano4; inatumika kwenye mageri au vyombo vya usafiri kujuendesha pasipo ya dereva.... huwezi kuta gari limepata ajari wala kugongana


Ntarudi baadae kidogo......
Nashukuru sana mkuu, you are my hero nimeelewa na nimeridhika na maelezo yako! Nimepata mtaji wa info za kuendelea kulijua kwa undani wa hili jambo thank you.



Dear members, wengine humu jamvini hebu kidogo tupunguze kubezana mara mtu anapohitaji msaada juu ya kujua jambo fulani kisa tu google ipo. Tukumbuke google haijatupa nafasi ya kufanya discussion kama hapa ya kuuliza swali au kuomba ufafanuzi zaidi that's why akina Max wakatutengenezea Jf.

Kabla sijafika hapa nilishapta huko kwa akina google na wikipedia majibu niliyoyapata sikuyaelewa kiukweli that's why nikataka kueleweshwa kwa simple language tena ya kiswahili kabisa mana huko nlikotoka nlitoka kapa. Thanks kwa mliochangia uzi huu naimani sikuwa peke yangu yawezekana kuna wengine walikua hawajui kuhusu Artificial Intelligence but kwa kupitia mimi kuuliza hapa watakua wameelewa!
 
Ni kweli mkuu hata mimi
nimefaidika kujua kupitia
swali lako na majibu
yaliyotolewa. Asante kwa
muulizaji na waliojibu.
Nashukuru sana mkuu, you are my hero nimeelewa na nimeridhika na maelezo yako! Nimepata mtaji wa info za kuendelea kulijua kwa undani wa hili jambo thank you.



Dear members, wengine humu jamvini hebu kidogo tupunguze kubezana mara mtu anapohitaji msaada juu ya kujua jambo fulani kisa tu google ipo. Tukumbuke google haijatupa nafasi ya kufanya discussion kama hapa ya kuuliza swali au kuomba ufafanuzi zaidi that's why akina Max wakatutengenezea Jf.

Kabla sijafika hapa nilishapta huko kwa akina google na wikipedia majibu niliyoyapata sikuyaelewa kiukweli that's why nikataka kueleweshwa kwa simple language tena ya kiswahili kabisa mana huko nlikotoka nlitoka kapa. Thanks kwa mliochangia uzi huu naimani sikuwa peke yangu yawezekana kuna wengine walikua hawajui kuhusu Artificial Intelligence but kwa kupitia mimi kuuliza hapa watakua wameelewa!
 
Back
Top Bottom