VoiceOfReason
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,194
- 1,355
Wana Arsenal badala ya kupiga kelele ya kumfukuza Wenger lazima muangalie achievements za Wenger na ni wapi alipowatoa
.
Je aliwezaje kushinda makombe bila pesa ?
Kwahiyo swali linakuja Sir Alex angeweza kufanya hayo akiwa na timu kama Arsenal ???; Maybe NO ..
Conclusion;
Kwa timu ambayo haina pesa za kumwaga na kupoteza na kwenye hii current atmosphere ambayo wachezaji ni ma-star na ni vigumu kuwa-dictate I will pick Wenger over Sir Alex any day of the Week!!!!! Angalizo; Kuondoka kwa Wenger huenda hata Europe kwenda kila mwaka ikawa tatizo let alone kuchukua kombe.
- Wenger alikuja 1996 (Sir Alex alikuwa ana 10 years Head Start) mwaka uliofuata akachukua The Double (FA na Premier League) na hii ni baada ya Arsenal kuwa points 12 nyuma na alishinda akiwa na games mbili mkononi
- Ameshinda FA Cups 4 Premier Leagues 3 bila pesa ya kutumia sio kwamba alikuwa hataki lakini Arsenal ilikuwa haina pesa
Je aliwezaje kushinda makombe bila pesa ?
- Arsenal ilikuwa haijazi uwanja sababu Arsenal ilikuwa inacheza Boring Football ; (mpaka washabiki wengine walikuwa wanaimba, Boring Boring Arsenal na One nill to the Gunners) yaani Arsenal alikuwa akikufunga moja anadefend, Wenger alibadilisha 4-5-1 to 4-4-2 na kuleta mchezo wa kuvutia Highbury hence washabiki kuongezeka na income kuongezeka
- Arsenal iliuza wachezaji quality kwa kuwanunua kwa bei ndogo ; Anelka pounds 500,000 kutoka PSG na kumuuza 22.3 million pounds baada ya miaka miwili na kwa pesa hizo aliwanunua Robert Pires, Thiery Henry na Lauren to name just a few.
- Wenger ni Talent Spotter watu kama Henry aliyembadilisha kutoka winger mpaka stricker, Kolo Toure alikuwa midfielder akamfanya defender..., hey isingekuwa Wenger hata George Weah (the African Best World Footballer maybe asingeiona Europe.
- Timu iliyoweka rekodi ya mechi kumi bila kufungwa kwenye Champions Leageu na kufika fainali ilichukua milion 5 tu kuitengeneza
Kwahiyo swali linakuja Sir Alex angeweza kufanya hayo akiwa na timu kama Arsenal ???; Maybe NO ..
- Man United imekuwa na pesa za kutosha kwa kipindi kirefu uwanja wake wa Old Trafford unajaa kila wiki; kwahiyo before Chelsea United ndio timu iliyokuwa ina pesa za kumsajili kila mchezaji wanayemtaka.
- Pesa walizotumia kumpata Veron; Rud Van Nisteroy na Rio (ambaye walimchukua kwa 30m ingawa leeds walimpata kwa 6m) inaonyesha jinsi huyu babu anavyomwaga pesa, na makosa aliyofanya ya kuwanunua kama kina Jemba Jemba, Taibi ni makosa ambayo Arsenal Could not afford kuyafanya
- Sir Alex timu iliyompatia manufaa hakununua wachezaji wengi walitokea Academy, alikuwa na bahati ya kwamba wachezaji kama sita wote walipeak at once, (Beckham; Giggs, Scholes, Neville brothersw e.t.c) na sababu amekuwa nao hawa watoto kwahiyo alikuwa anawa-manage kwa udikteta na kwa kuwatisha hence kukorofishana na watu kama kina Jaap Stam.
- One of the top Signings za United Cantona sio kwamba alimgundua kutoka mbali alikuwepo Leeds na kila mtu alimjua, which means hata kama Arsenal wangemtaka wasingempata kutoka na ubavu wa United kipesa kuliko Gunnerss
- Ronaldo sio kwamba walipanga kumsajili ni baada ya kwenda kucheza friendly Portugal na alivyowakimbiza kina Rio na Gary Neville, basi wachezaji wa Man United wakamwomba Sir Alex amnunue sababu waliona potential yake.
Conclusion;
Kwa timu ambayo haina pesa za kumwaga na kupoteza na kwenye hii current atmosphere ambayo wachezaji ni ma-star na ni vigumu kuwa-dictate I will pick Wenger over Sir Alex any day of the Week!!!!! Angalizo; Kuondoka kwa Wenger huenda hata Europe kwenda kila mwaka ikawa tatizo let alone kuchukua kombe.