AL SHARPTON
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 2,797
- 953
mkuu subiri muda si mrefu watanyamazishwaBayern Munich kelele za mashabiki wa Asernal uwanjani zinawachanganya, hawaoni lango.
mkuu subiri muda si mrefu watanyamazishwaBayern Munich kelele za mashabiki wa Asernal uwanjani zinawachanganya, hawaoni lango.
kushinda siyo rahisi labda na wao(Bayern) walimwe kadi nyekundu.nimeota tutashonda hii game mama yangu mzazi
Bayern Munich kelele za mashabiki wa Asernal uwanjani zinawachanganya, hawaoni lango.
Yaliyotokea jana yatajirudia tena leo. The good thing ni kuwa leo refs sio Howard WebbHii kadi nyekundu itawagharimu Arsenal kibaya zaidi imetoka mapema.
Striker wa Bayern wanashindwa kutumia nafasi wanazozipata au wanasubiri kipindi cha pili!!!!! Kama mwendo ndo huu Asernal wakitulia pale mbele wanaweza kuambuliamkuu subiri muda si mrefu watanyamazishwa
So far AssAnal wamecheza vizuri lakini red card itawa-cost. Guardiola ni mzuri wa kufanya adjustments. Sasa hivi wataanza kuvuna magoliStriker wa Bayern wanashindwa kutumia nafasi wanazozipata au wanasubiri kipindi cha pili!!!!!
nahisi kuna RedCard nyingine itatokea kwa upande wa Bayern hapo sasa Arsenal itabidi wachangamke.So far AssAnal wamecheza vizuri lakini red card itawa-cost. Guardiola ni mzuri wa kufanya adjustments. Sasa hivi wataanza kuvuna magoli
naomba kuuliza jamani ile direct card alopata kipa amestahili? au angepewa njano?