Arsenal Vs Bayern Munich. Tutabiri

Arsenal Vs Bayern Munich. Tutabiri

W
we nae wale wale

mkuu poleni lakini haya ni ya kujitakia.Siwalaumu ninyi mashabiki wa Arsenal,mnaumia kama sie mashabiki wa timu nyingine tunavyoumia timu zetu zikifungwa lakini kwenu tatizo linauma zaidi kwa vile Arsenal si timu ya kuwa na profile hii(0CL) hivi sasa bali ni uhafidhina wa viongozi wenu kumng'ang'ania huyu Wenger kisa tu,anabalance mahesabu vizuri.Sasa chagueni moja,timu iwe namba moja kwenye hesabu za fedha au hesabu za uwanjani!To me bora za uwanjani maana zinaleta fedha pia.Pandisha cheo hiki kibabu kiwe kikurugenzi,tafuteni manager "wa uwanjani".
 
Mh, toka lini



Sent from my iPhone using JamiiForums mobile app


Leo kufungwa na bayern unawakana wenzako?

Msife moyo mechi ya marudiano mtawafunga kwao

Ila hongera naona umejitutumua kutoka motorola mpaka ......
 
Leo kufungwa na bayern unawakana wenzako?

Msife moyo mechi ya marudiano mtawafunga kwao

Ila hongera naona umejitutumua kutoka motorola mpaka ......


Utanipachika hadi timu ya abajalo mwaka huu, endelea kujitoa fahamu zikirudi una majibu mie nilipo


Sent from my iPhone using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom