Balantanda JF-Expert Member Joined Jul 13, 2008 Posts 12,484 Reaction score 4,821 Jan 2, 2012 #17,401 Half Time Fulham 0-1 Arsenal
jebs2002 JF-Expert Member Joined Sep 3, 2008 Posts 11,014 Reaction score 10,682 Jan 2, 2012 #17,402 Mhh... Sio mbaya kabisa. Ila Fulham wako very dangerous, very dangerous... Sio mbaya kabisa..
Konya JF-Expert Member Joined Jun 4, 2011 Posts 921 Reaction score 118 Jan 2, 2012 #17,403 Viper said: gervinho ana kila kitu .. kasoro utulivu ni mchezaji mzuri though Click to expand... abadilike sana huyu,ni mzuri anapokuwa na mpira lakini finishing yake ni mbovu anahitaji utulivu na umakini wa hali ya juu vinginevyo ni bora asianzage tu
Viper said: gervinho ana kila kitu .. kasoro utulivu ni mchezaji mzuri though Click to expand... abadilike sana huyu,ni mzuri anapokuwa na mpira lakini finishing yake ni mbovu anahitaji utulivu na umakini wa hali ya juu vinginevyo ni bora asianzage tu
Katavi Platinum Member Joined Aug 31, 2009 Posts 42,099 Reaction score 12,920 Jan 2, 2012 #17,404 Hata hivyo si mbaya sana, vijana waongeze tu umakini kwenye ulinzi..
Kunta Kinte JF-Expert Member Joined May 18, 2009 Posts 3,690 Reaction score 1,293 Jan 2, 2012 #17,405 Huyu Coque ni mzuri sana, given time atakuwa one of the best
Balantanda JF-Expert Member Joined Jul 13, 2008 Posts 12,484 Reaction score 4,821 Jan 2, 2012 #17,406 Walcott kaisha kweli......Hana makali kabisa
Balantanda JF-Expert Member Joined Jul 13, 2008 Posts 12,484 Reaction score 4,821 Jan 2, 2012 #17,407 Dakika ya 60 Fulham 0-1 Arsenal
Balantanda JF-Expert Member Joined Jul 13, 2008 Posts 12,484 Reaction score 4,821 Jan 2, 2012 #17,408 Yellow card kwa Djourou.....Foul ya kijinga
Balantanda JF-Expert Member Joined Jul 13, 2008 Posts 12,484 Reaction score 4,821 Jan 2, 2012 #17,409 Bora......Walcott nje, Rosicky ndani....
Balantanda JF-Expert Member Joined Jul 13, 2008 Posts 12,484 Reaction score 4,821 Jan 2, 2012 #17,410 Huu uzembe tutafungwa muda si mrefu.........
Kunta Kinte JF-Expert Member Joined May 18, 2009 Posts 3,690 Reaction score 1,293 Jan 2, 2012 #17,411 Balantanda said: Huu uzembe tutafungwa muda si mrefu......... Click to expand... Mkuu hata mimi napata mashaka sana
Balantanda said: Huu uzembe tutafungwa muda si mrefu......... Click to expand... Mkuu hata mimi napata mashaka sana
Balantanda JF-Expert Member Joined Jul 13, 2008 Posts 12,484 Reaction score 4,821 Jan 2, 2012 #17,412 Gervinho nje, Benayoun ndani....
Balantanda JF-Expert Member Joined Jul 13, 2008 Posts 12,484 Reaction score 4,821 Jan 2, 2012 #17,413 Tumekoswakoswa...........dah!!!!!!!
Balantanda JF-Expert Member Joined Jul 13, 2008 Posts 12,484 Reaction score 4,821 Jan 2, 2012 #17,414 Djourou nje......Red card
Balantanda JF-Expert Member Joined Jul 13, 2008 Posts 12,484 Reaction score 4,821 Jan 2, 2012 #17,415 Kazi kweli kweli......foul kuelekea kwetu,nje ya 18 Kona.....
Nyaluhusa87 JF-Expert Member Joined Oct 14, 2011 Posts 1,303 Reaction score 262 Jan 2, 2012 #17,416 bora wamekosa hiyo foul
Kunta Kinte JF-Expert Member Joined May 18, 2009 Posts 3,690 Reaction score 1,293 Jan 2, 2012 #17,417 Balantanda said: Djourou nje......Red card Click to expand... Balaa ndio imeshatugongea hodi!!!
Balantanda JF-Expert Member Joined Jul 13, 2008 Posts 12,484 Reaction score 4,821 Jan 2, 2012 #17,418 Dakika ya 80 Fulham 0-1 Arsenal...... Mungu saidia,tuko pungufu
Balantanda JF-Expert Member Joined Jul 13, 2008 Posts 12,484 Reaction score 4,821 Jan 2, 2012 #17,419 Ramsey nje,Squillaci ndani.....
mfarisayo JF-Expert Member Joined Nov 23, 2010 Posts 5,160 Reaction score 2,004 Jan 2, 2012 #17,420 Wazee naona mnapumulia machine muda mrefu