na havertz anafungaje?System ya Arteta haimpi favor VG nafasi ya kufunga, sio kwamba wenzie hawampi pasi.
Mfumo wa Arteta hata akipewa Haaland itakua ngumu kutoboa coz hauhitaji natural striker, unataka false 9 wa kusaidia kwenye build-up, ku play between the lines, good with the ball na most importantly, awe na uwezo wa ku win duels zake.na havertz anafungaje?
Nimekusoma.Mfumo wa Arteta hata akipewa Haaland itakua ngumu kutoboa coz hauhitaji natural striker, unataka false 9 wa kusaidia kwenye build-up, ku play between the lines, good with the ball na most importantly, awe na uwezo wa ku win duels zake.
Ili tumfaidi mchezaji km Victor, inabidi tuwe tunacheza direct passing game, long balls na mchezo wa counter attack.. hapo ndo tuta unlock beast mode yake. Otherwise tutamuona mzululaji tuu.
It explains why Arteta wanted the likes of Alvarez, etc.
Kwa nini kamuuza G. Jesus.Mfumo wa Arteta hata akipewa Haaland itakua ngumu kutoboa coz hauhitaji natural striker, unataka false 9 wa kusaidia kwenye build-up, ku play between the lines, good with the ball na most importantly, awe na uwezo wa ku win duels zake.
Ili tumfaidi mchezaji km Victor, inabidi tuwe tunacheza direct passing game, long balls na mchezo wa counter attack.. hapo ndo tuta unlock beast mode yake. Otherwise tutamuona mzululaji tuu.
It explains why Arteta wanted the likes of Alvarez, etc.
Kwenye 4 2 3 1 false 9 inakujaje? 4 3 3 ndiyo inakupa false 9Mfumo wa Arteta hata akipewa Haaland itakua ngumu kutoboa coz hauhitaji natural striker, unataka false 9 wa kusaidia kwenye build-up, ku play between the lines, good with the ball na most importantly, awe na uwezo wa ku win duels zake.
Ili tumfaidi mchezaji km Victor, inabidi tuwe tunacheza direct passing game, long balls na mchezo wa counter attack.. hapo ndo tuta unlock beast mode yake. Otherwise tutamuona mzululaji tuu.
It explains why Arteta wanted the likes of Alvarez, etc.
G. Jesus ni typical Arteta type, ndo mana aliposajili tulikua tunacheza sexy football.Kwa nini kamuuza G. Jesus.
Ndio kwenye 4231 kuna uwezekano wa kuwepo false 9. Hiyo 4231 ni on paper, maana yake ST anaweza kushuka kwenye CAM position, No 10 akatokea pembeni formation ikawa 433 without the ball AU wakawa No 10 wawili ambayo huwa tunatumiaga formation ikahamia kwenye 424.Kwenye 4 2 3 1 false 9 inakujaje? 4 3 3 ndiyo inakupa false 9
Kwanini akiwa Kai pasi zinaenda ila Gyokeres haziendi?
Umeangalia mechi ya jana? Umeona options za pasi zinakuwepo ila wanarudisha nyuma makusudi?
Gyokeres anaanza run Merino anageuka anapeleka pasi mpira ulipotoka
Uwezekano unakuepo kweli lakini on paper haidemand hivyo.Ndio kwenye 4231 kuna uwezekano wa kuwepo false 9. Hiyo 4231 ni on paper, maana yake ST anaweza kushuka kwenye CAM position, No 10 akatokea pembeni formation ikawa 433 without the ball AU wakawa No 10 wawili ambayo huwa tunatumiaga formation ikahamia kwenye 424.
Jambo la kupewa pasi au kutopewa linategemea na positioning. Km kwa mechi ya jana kuna muda VG alienda pembeni akapewa pasi, ni kwa sababu mfumo wa Arteta una demand hivyo (na ndo kitu ambacho Kai anafanya) otherwise ukiwa lone striker utakua isolated na pale mbele utaonekana mzululaji tu..
Welcome back bloodie. Arsenal ndio homeSwali halina jibu hili mkuu😄
Ilikuwaje jesus akawa anasugua benchi wakati ndio sifa zake hizi?Mfumo wa Arteta hata akipewa Haaland itakua ngumu kutoboa coz hauhitaji natural striker, unataka false 9 wa kusaidia kwenye build-up, ku play between the lines, good with the ball na most importantly, awe na uwezo wa ku win duels zake.
Ili tumfaidi mchezaji km Victor, inabidi tuwe tunacheza direct passing game, long balls na mchezo wa counter attack.. hapo ndo tuta unlock beast mode yake. Otherwise tutamuona mzululaji tuu.
It explains why Arteta wanted the likes of Alvarez, etc.
Hapo kwenye mapenzi na kai nakuelewa, ila kiukweli jesus ndio likuwa striker bora zaidi kwetu, ni kweli ana changamoto ya majeruhi, ila hata alipokuwa fiti hakuwa akipewa nafasi tena..G. Jesus ni typical Arteta type, ndo mana aliposajili tulikua tunacheza sexy football.
Mambo ya mpira mgumu yalianza msimu uliopita baada ya VG kusajiliwa coz we had to adjust to cope with his style of play, fans wakawa wanalalamika hapewi pasi, etc.. etc..
Ila GJ hakuweza kufanikiwa kwenye timu kwa sababu ya availability/injuries, huwezi kumtegemea striker ambae unajua at some point atapata majeraha na kukaa nje kwa muda mrefu.
Vile vile GJ anafanya vitu vingi sahihi isipokua finishing.. ila ana pressing nzuri, good link-up play na ni versatile (can play from the left/right wing). Naweza sema coach preference pia imepelekea ashifanikiwe mana Arteta nae ana mapenzi makubwa na Kai.