Attacking midfielder, ambae ana switch na Gyokeres na pia husaidia kwenye pressingLabda mpite nalo kwa kuliiba, nje ya mada naomba kujua Havertz nafasi yake halisi ni namba ngapi?! Au anacheza nafasi zote za mbele[emoji1787][emoji1787]
Hii Imani ungehamishia kwenye dini ungekua umenyakuliwa kama Elia au henoko . Imani ni kubwa mno kama mlima.Wanaoamini / kujua kuwa msimu huu EPL ni yetu gonga like hapa
Hii comment nitaifukua siku tunanyanyua NDOO
View attachment 3571266
Kiungo ya boluKiungo ya ball imeganda hewani..
View attachment 3571012
Ikibeba vipi?? Arsenal habebi kombe lolote saivi ni 98.9% habebi kombe.Ikibeba ni kwa sababu ya longballs, setpieaces, kukumbatia timu pinzani wakati wanapiga kona yao ili wasiruke na kufunga, wanapaki mabasi na makontena. Arsenal midfield yenu mbovu sana Declan rice hawezi kupiga pasi na Submendi naye kiunmgo hovyo na nndio maana Arsenal hawawezi kucheza open play. Kusababisha set pieaces tu ili wabahatishe kufunga
Another false hope. Nyinyi ni machampion wa false hopes.Arsenal bingwa wa epl
Acha ufala kenge mavumbi, arsenal iko gado we are ready to take the trophy π₯Another false hope. Nyinyi ni machampion wa false hopes.
Kama vipi tuwakayie visa wewe, mkorea ,castr na arsenal 2004 mvae njumu muingie uwanjani kuusaka ubingwa π.
Wewe inaonekana hata mpira Huwa huangaliii.Acha ufala kenge mavumbi, arsenal iko gado we are ready to take the trophy π₯
Sawa mkuu, mimi ni nani nibishaneWewe inaonekana hata mpira Huwa huangaliii.
Kwa mujibu wa shabiki wao mmoja aliyepotea humu jukwaani, King Kai ni mtaalamu wa INVERTED PRESSING haijawahi kutokea duniani. Yaani anajiweka kwenye nafasi ambayo anazuia wachezaji zaidi ya wawili wa timu pinzani wasionekane na kupasiwa mipira kwa wakati mmojaLabda mpite nalo kwa kuliiba, nje ya mada naomba kujua Havertz nafasi yake halisi ni namba ngapi?! Au anacheza nafasi zote za mbeleπ€£π€£
Mkuu hapa umewakaanga pakubwa sana, hadi huruma sasaTimu inacheza mpira imegeukia nyuma unategemea Nini?
Jamaa kakimbiaga kabisa alionekana siku arsenal iliposhinda kwa Madrid wakaanza kabisa kutafuta team ya kucheza nayo final ya UEFA.Kwa mujibu wa shabiki wao mmoja aliyepotea humu jukwaani, King Kai ni mtaalamu wa INVERTED PRESSING haijawahi kutokea duniani. Yaani anajiweka kwenye nafasi ambayo anazuia wachezaji zaidi ya wawili wa timu pinzani wasionekane na kupasiwa mipira kwa wakati mmoja
Nimeona niwakilishe hili ninalolijua ila mengine narudishe mic kwa wenye timu yao
Kuna mwana mmoja sijawahi kumuona tangu ile Oktoba 29 ipite, anatumia ID ya HENRY14, kama yupo hai nitashukuru sana kwa ajili yakeJamaa kakimbiaga kabisa alionekana siku arsenal iliposhinda kwa Madrid wakaanza kabisa kutafuta team ya kucheza nayo final ya UEFA.
Hili jukwaa watakimbia wote kina castr, arsenal 2004 na mkorea naona huu ndo msimu wao wa mwisho.
Arsenal 2004 alishaanza kunialika pilau la ubingwa π, nikamuuliza ubingwa upo kaka??
Pia mwanangu computer arsenal kimya kimekua kingi sanaKuna mwana mmoja sijawahi kumuona tangu ile Oktoba 29 ipite, anatumia ID ya HENRY14, kama yupo hai nitashukuru sana kwa ajili yake
Nadhani ndio timu ya kwanza kuwatambua upinde waziwazi ndio maana mambo hayawaendei vizuri sanaDaah sema wadau mnawaandama ssna Arsenyo.
Hii timu kama ina laana ya mzee Wenger.
Naskia huko Arsenyembo Kuna mchezaji anaitwa mchele πAcha ufala kenge mavumbi, arsenal iko gado we are ready to take the trophy π₯