Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Scholes na wenzake huwa wanasumbiliwa tu na wivu, usidhani Wana lolote la maana ambalo linaweza Fanya watu wawasikilize.

Anasema Arsenal itakuwa the worst team kushinda EPL wakati Manchester United iliwahi shinda league kwa point 75 pekee
Ikibeba ni kwa sababu ya longballs, setpieaces, kukumbatia timu pinzani wakati wanapiga kona yao ili wasiruke na kufunga, wanapaki mabasi na makontena. Arsenal midfield yenu mbovu sana Declan rice hawezi kupiga pasi na Submendi naye kiunmgo hovyo na nndio maana Arsenal hawawezi kucheza open play. Kusababisha set pieaces tu ili wabahatishe kufunga
 
Labda mpite nalo kwa kuliiba, nje ya mada naomba kujua Havertz nafasi yake halisi ni namba ngapi?! Au anacheza nafasi zote za mbele
Attacking midfielder, ambae ana switch na Gyokeres na pia husaidia kwenye pressing

Epl is coming
 
Wanaoamini / kujua kuwa msimu huu EPL ni yetu gonga like hapa
Hii comment nitaifukua siku tunanyanyua NDOO
View attachment 3571266
Hii Imani ungehamishia kwenye dini ungekua umenyakuliwa kama Elia au henoko . Imani ni kubwa mno kama mlima.
Nyinyi ndo ivyo mshatoka patupu kaka.

Hivi mnaangaliaga hata matches zenu kweli? Nina wasiwasi mtakua hamuangalii match zenu.
Mlilalamika match ya Nottingham, wolves, inshort match zenu 15 zilizopita ukiwa unaangalia kuna utofauti wowote ule unaona? Hakuna utofauti wowote playstyle ni Ile Ile then unatarajia utabeba kombe.
 
Ikibeba vipi?? Arsenal habebi kombe lolote saivi ni 98.9% habebi kombe.
 
Zubimendi huyu mlipigwa mchana kweupe wazee? Hamna mchezaji hapa Bora lukonga au guendozi, chezaji hata kuomba pasi halitakiii linajificha kwenye migongo ya team pinzani au likipata pass ni back pass au pass ilimradi, zero scanning na mitetemeko 100%
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…