Arsenal ikatokea though ni ngumu sana ni zaidi ya ngamia kupenya kwenye tundu la sindano mkabeba EPL .
Mchezaji Bora wa msimu kwenu atakua David Raya .
EPL kwa mara ya kwanza player of the season anakua kipa π maana sidhani kama pale arsenal kuna mchezaji amemzidi Raya overall performance mpaka sasa kwa mbali anayemfuatia ni Gabi.
Man city alichukue tu hili kombe haiwezekani EPL player of the season awe kipa, alichukue atuondolee hii aibu