Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Scholes na wenzake huwa wanasumbiliwa tu na wivu, usidhani Wana lolote la maana ambalo linaweza Fanya watu wawasikilize.

Anasema Arsenal itakuwa the worst team kushinda EPL wakati Manchester United iliwahi shinda league kwa point 75 pekee
 
Scholes na wenzake huwa wanasumbiliwa tu na wivu, usidhani Wana lolote la maana ambalo linaweza Fanya watu wawasikilize.

Anasema Arsenal itakuwa the worst team kushinda EPL wakati Manchester United iliwahi shinda league kwa point 75 pekee
Yaani nyie ni mazwazwa!! Kwa hiyo Scholes ana wivu na Arsenal??! Embu tupe sababu moja tu.

Mlianza na Unbeaten, mkaja Quadruple, mkaja treble ......bado tu amshtuki kwamba mtatoka mikono mitupu nyie ni mikondoo.
 
Naona mazoezini mnashikishana pen tu, mtalichukua kweli hili kombe wazee?.
Pep yeye anapiga hesabu zake , nyingi mpo mazoezini mnashikishana pen daah false hopers nan aliyewaloga?
 
White kukosa game time ni tatizo lililoonekana dhidi ya Soton na leo hapa dhidi ya CP liko wazi
 
White kukosa game time ni tatizo lililoonekana dhidi ya Soton na leo hapa dhidi ya CP liko wazi
Arteta akiamua kukusahau anakusahau kweli.. sijui kwanini anamfanyia hivi ben,, kuna game unaona hapa anatakiwa aingie white, anafanya yake.
White na jesus sidhani km wataendelea na arsenal
 
Ukishaanza na kusena raya kipa mzuri, katusave sana inanipa mashaka, ina maana tulipelekewa moto?
Raya yupo kwenye ile list ya wachezaji wangu wansostahili kuwepo arsenal
50/50 game, hapa class ya wachezaji ndio ili amua mechi.

Si unajua sporting alikuwa haja fungwa kwake kitambo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…