Arsenal (The Gunners) | Special Thread

City turned up with 5 3 2.

Arsenal tumekuja na 4 2 3 1. AM amekua Kai.
In practice Kai atakua SS kwa Gyokeres if it works kama inavyodhamiriwa hapa tuna AM na SS in Kai.

Timu zote mbili ukiachilia kipa wote walioanzishwa ni starters na vyuma haswa.

Kwakua we no longer fluid natarajia mpira wa tahadhari zaidi upande wetu, flairs hatutaziona mpaka aingie Dowman wakati kwa City flairs na pace vyote anavyo.

Kazi yetu ni kudeal na morali na kuabsorb presha
 
Kiutani utani .... spurs anashuka daraja asipokuwa makini !

Kuachana na D Levy ilikuwa makosa sana ! Wacha tuone, huyo kocha wao Tudor ni box kabisa hakuna kitu
 
Watu hata kuchop hawajataka wakawa wanamlenga tu yule kipa.

Kutesana ilikua zamu zamu. Hincapie anasumbuliwa na Semenyo wakati wings zetu hazitoi hii treatment kwa defense ya City.

Gyokeres akigewa mipira mara nyingi then tuna chance ya kumsababishia red Khusanov.

Set pieces hazijaonyesha matunda yet tunatumia mfumo huo huo. City nao wamerudia mistakes hizo hizo kwenye set pieces.

Sasa hivi tunahitaji pace na shots za nje ya box. Saka hayupo radhi kufanya hivyo.

Hope tunasemana hii half time. Tukirudi tuwe wengine.
 
FALSE HOPE FOOTBALL CLUB

MSIMU WA 2025/26

1. Carabao cup: FALSE HOPE( TAYARI HUKOOOOO)
2:EPL loading: FALSE HOPE🔞
3: UEFA loading: FALSE HOPE🔞
4: FA Cup : FALSE HOPE🔞

Even EPL bungo linatemwa baada ya kubanduliwa hapaaaa😀😀😀😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…