Tumejituma tunachokosa wachezaji wetu wachache pale mbele hawana nguvu. Walcott na Gervinho wametunyima mchango wao leo wanatakiwa watumie nguvu zaidi kwenye mechi kama hizi.
Tumecheza mpira mzuri sana 2nd half,tatizo ni kwamba bahati haikuwa upande wetu,Man City wanapaswa kumshukuru sana Joe Hart kwa kuwaokoa game ya leo.....Walcott ametuangusha sana leo,hakuwa kwenye form kabisa....
Kuna haja ya AW kumbadili namba TV5 na kucheza kama AM.....Jamaa ni mzuri sana kwenye kutafuta magoli ya mbali.....Kiukweli Man City hawatishi kivile,tumewabana sana leo hasa dakika za mwisho kiasi kwamba ilibidi Joe Hart aanze kupoteza muda...
Halafu,ina maana refa hakumuona yule beki wa City alivyzuia mpira kwa mkono,na kabla ya hapo RVP alisukumwa ndani ya eneo la hatari......Anyways,ndo EPL hiyo.....
Hongereni Arsenal kwa mchezo mzuri,tujipange kwa mechi na Aston Villa sasa...
Bala.
mnatoa analysis nzuri kweli..hizi muwe mnamfowadia AW jamani...
Pole sana wamewachapa 2. Dah!
The Wenger Years - Overview
How the Frenchman revolutionised Arsenal on and off the pitch
Jamani humu ndani tutadiscuss klabu yetu ya Arsenal na kubadilishana mawazo jinsi gani tunavyoendelea KUFUNGWA NA KUELEKEA MKIANI.
Pole sana wamewachapa 2. Dah!
Sasa japa hata top four sijui itakuaje...... Out of top team tumewafunga Chelsea tu.... Los kwa Man Utd, Liver, T'Ham na leo Man City!!!! Hii inaonyesha bado hatujawa na uwezo wa Kushindana kwa kuwa washindi.... Tunashindana koz ni washiriki.... Generally Walcott alikuwa very poor.... Kipa ndo katutoa...... NEXT........ ITS OK fellow Goonerz!!! Ndo mchezo na tukubali kushindwa.... Kama tulisurvive zile 8... sidhani kama itakua ngumu kusurvive hiki kipigo cha goli moja ila kinadidimiza ndoto za kushiriki hata CL next season!!!!
Ni kweli unayoyasema lakini kwa game hii lazima niseme City wana bahati kutokana na goli lao kuwa la ki-off side na sisi kunyimwa penalty ya wazi kwa uzembe wa refa Phil Dowd,nasisitiza ni BAHATI yao.Katika mpira mshindi ndiye aliyecheza vizuri, huwezi sema umecheza vizuri wakati umefungwa, pia mpira sio mchezo wa kubahatisha hadi mtu aseme Man City wamebahatisha. Mpira ungekuwa ni mchezo wa kubahatisha kama ungekuwa unachezwa kwa dakika 1 au 2 lakini dakika 90 zote unasema umebahatishwa hiyo si kweli bwana.
Ni kweli unayoyasema lakini kwa game hii lazima niseme City wana bahati kutokana na goli lao kuwa la ki-off side na sisi kunyimwa penalty ya wazi kwa uzembe wa refa Phil Dowd,nasisitiza ni BAHATI yao.
Poleni waungwana.
....asante,....maana jana mlikuwa na mixed prayers, huku mnaombea tufungwe sita kama nyie,
wakati huo mnaombea tuwapunguze spidi, si eti ee?!
j...all in all, japo kwa pointi moja ubingwa wenu msimu huu, hawa man city zao zinahesabika mkuu.
Ni kweli unayoyasema lakini kwa game hii lazima niseme City wana bahati kutokana na goli lao kuwa la ki-off side na sisi kunyimwa penalty ya wazi kwa uzembe wa refa Phil Dowd,nasisitiza ni BAHATI yao.
Haka kaugonjwa ka Aseno fan kulialia na maref mara sijui wat and wat sijui mtaja acha lini hv????...yaan mnadhan soka n kama lile la kwa playstation?, mnaboa sometimes bana.
....asante,....maana jana mlikuwa na mixed prayers, huku mnaombea tufungwe sita kama nyie,
wakati huo mnaombea tuwapunguze spidi, si eti ee?!
j...all in all, japo kwa pointi moja ubingwa wenu msimu huu, hawa man city zao zinahesabika mkuu.