Hiyo pesa hajaanza nayo pia huyu ni Manager siyo Kocha.Castr mjitathiminiView attachment 3226731
Duh....ndo maana hiki kijamaa kina kiburi sana.Castr mjitathiminiView attachment 3226731
Castr mjitathiminiView attachment 3226731
π ila mjitathiminiHiyo pesa hajaanza nayo pia huyu ni Manager siyo Kocha.
Ikatokea Ruben anaigeuza united kua timu yenye matokeo na kupoteza mechi inakua siyo kawaida sidhani kama utashangaa akipandishwa status kua manager na mshahara ukapanda
Stay humbleNewcastle ajiandae kisaikolojia
Ashindwe Fabregas, Van persie, aje awape odergaard na sakaHivi mnapodanganyana humu kuwa odegaard atawapa ubingwa huwa mnakuwa mmelewa au
Saliba ni uchochoro, ni swala la mda tu kulitambua hili.Mimi nadhani kwa point tuliyopo hatuhitaji tena false #9, we need a natural CF. False 9 ni kuiunganisha timu iende mbele kupitia outlets, kama una defenders wazuri on ball(Saliba /Timber/ lewis Skelly) , mid wazuri kama zubi kwenye build up na Rice kufanya carries, unachohitaji ni creativity kutoka kwa mtu kama De bruyne na a go getter kama Osimhen then Kila kitu kitakuwa sawa. Kwangu Naypan, Zubi na Natural CF ni lazima tuwapate dirisha la kiangazi kabla ya kusajili cover ya Saka. winger kama Rafa leao ni mzuri endapo tu huna mpango wa kusajili CF, maana unapata mtu wa ku set a sitter na goals pia
Ajabu sana ππAshindwe Fabregas, Van persie, aje awape odergaard na saka
π π π π πSaliba ni uchochoro, ni swala la mda tu kulitambua hili.