Ukija kujua kwamba kihistoria mtani wako wa jadi ni man city na mafanikio yao ni aibu kwako utaanza kuelewa mpira. Sasa hivi wewe badoChid migoli atawasadia sana mtabeba mpaka Uefa msimu huu, ila mtaweza kumlipa £350m kwa wiki?
Kesho Mancity wapo hapo Emirates kuchukua points zao 3 kiulaini kabisa.
Ukija kujua kwamba kihistoria mtani wako wa jadi ni man city na mafanikio yao ni aibu kwako utaanza kuelewa mpira. Sasa hivi wewe bado
£350m kwa wiki, Flano amka usingizini utajowa/poo.Chid migoli atawasadia sana mtabeba mpaka Uefa msimu huu, ila mtaweza kumlipa £350m kwa wiki?
Kesho Mancity wapo hapo Emirates kuchukua points zao 3 kiulaini kabisa.
£350m kwa wiki, Flano amka usingizini utajowa/poo.
Sawa ndugu yangu wewe huna baya, humu unatuchangamsha sana, ila hiyo hela kwa madafu inatisha sana.Mkuu nisamehe bure, unajua kwa sisi tuliozoea kushikashika hizi pesa zetu za madafu milioni ndio imekaa sana kichwani, hapo kwa Chidi bwenga nilikua namaanisha pound laki tatu na nusu.
Kama nilivyoandika mwanzo.Man City kwa Man Utd tunamchukulia kama under dog tu, ni kama hapa bongo Simba na Yanga wanavyoichukulia KMC au Azam.
Man Utd mtani wake wa jadi miaka yote ni Liverpool tu.
Hata nyie Arsenyau mashabiki wa Utd huko Uingereza wanawachukulia kama Mtibwa sugar, mtushukuru tu sisi Mashabiki wa United huku Afrika walau tunawapa ka airtime flani hivi na kuwachukulia kama ndio watani wetu wa jadi, ila kiuhalisia hako katimu kenu wazungu wanakaona ni ka mid table team fulani hivi kanako jitahidi kupigapiga pasi.
Mfano wewe ni beki unayechipukia kwenye timu yako yupo Magalhaes, Saliba, Timber, White, Skelly, Calafiori, Tomiyasu, Kiwior na Tierney.Ayden fee £1.5m, jezi namba 26 ! Thank you gunners
Kazi unayo utasema maneno yote mpaka maji utayaita mma.Kwa namna mechi inavyoenda inamaanisha bila refa kutoa penati isivyo sahihi ilibidi iwe nil nil mpaka muda huu.
Au siyo?Kazi unayo utasema maneno yote mpaka maji utayaita mma.
DuhKwa namna mechi inavyoenda inamaanisha bila refa kutoa penati isivyo sahihi ilibidi iwe nil nil mpaka muda huu.
Kesho mda kama huu #cops tumekunja nne tukiombea yoyote lolote limkute 😂Kazi unayo utasema maneno yote mpaka maji utayaita mma.
Unataka kuwa bingwa halafu unatafuta msaada kwa vitimu kama Bournemouth, Are you serious ??????Au siyo?
Kabisa sisi hatuna muda nao .Kesho mda kama huu #cops tumekunja nne tukiombea yoyote lolote limkute